Umepiga ya wapi mzee?
Ya Njombe au Arusha?
Hii ni ya JUU kwa JUU.
NASHUKURU UMENIITA MZEE, nimeipenda approach yako
.......................................
Ewe kijana Jasiri.....Gundua kuwa muunda chombo ndiye mwandika manual book. Leo katuumba Mungu ndiye stahiki wa kutuandikia instruction manual book (KATIBA). Hiyo ndiyo silisila, Kijana wangu.
Ndio maana Malkia wa uingereza hajawaandikia watu wake KATIBA kwa mikono yao. Ni King James (Mfalme huyu alikuwa Mweusi [download king James alikuwa mweusi]) ndiye aliye ifasiri biblia kwa kiingereza. Na hadi leo ndiyo wanayo itumia.
WAO Wana mihimili ya nchi mitatu
1-Jumba la mfalme,
2-jumba la askofu mkuu wa kantobury na
3-jumba la bunge -ten down street [amrisha 10 chini mitaani]).
Malkia ni mkuu wa nchi na ni mkuu wa kanisa la anglikani. Askofu ni namba mbili baada ya malkia. Na waziri mkuu mtendaji ni mwanae malkia, licha kwamba hakumzaa.
Serikali ya uingereza ni ya Malkia. Hana vipindi na hapigiwi kura.
Ni waziri wa mambo ya ndani wao, mwaka 1959 London, walishiriki kutuandikia katiba ya nchi ya kisekyula. Ambayo tunaitumia hadi Leo.
Nchi yetu ikawa ni ya kidunia mustakbali wa mambo na shughuli. Miaka sitini ya uhuru, Leo bado tuna inport vijiti vya kuchokonolea meno kutoka uchina.
Why?
Katiba ya nchi ni uzushi.
TAZAMA:
KATIBA YA TAIFA LA MARIKANI ina ibara 5 (7). Wao viongozi Wao Thomus Jefferson walikaa na kuyadurusu maandiko matakatifu, ndio wakakopi KATIBA humo. T.J alisema... Taifa ambalo litadai kuwa halina dini, kamwe halitakuwa huru. Na jambo kama hili halijawahi kutokea na wala halitatokea.
KATIBA NI NINI?
KATIBA ni kitabu chenye MISINGI na TARATIBU zenye UWEZA na NAMNA ya KUREJEZA WATU namna ya KUISHI.
Bali KATIBA ya nchi na hiyo mpya ni vitabu vyenye sheria za uongozi na utawala wakikoloni na makoloni. Ni UZUSHI wakoloni waliotuzushia, tushindwe kuwa na UWEZA wa kufanya mambo yetu wenyewe. Na tuwe tegemezi kwao. Na hadi warejee kututawala tena.
MAONI:
1) Kabla ya jambo lolote, kwanza tufanye UTAFITI wa kina kwa njia zote na njia mbalimbali, tusiendelee kudumazwa kama miaka hii 60 iliyopita.
2) Wazee tusigombanishwe kwa hili -KATIBA YA NCHI. Kwa miaka sitini ya uhuru wa bendera, ni dhahiri kuwa hiki kitabu sicho.
3) enyi vijana, msikurupuke na kubebwa na agenda za wasaka madaraka na uongozi. Sio. TAKENI KATIBA yenye macho, masikio, uoni na yakini.
Kumbukeni, kwani Mungu kaumba kila kitu viwili viwili. Kwa hiyo KATIBA nayo haiwezi kuwa tofauti. Ni vitabu viwili katika kimoja~
1) KATIBA MAMA na
2) KATIBA MWENZA.
KATIBA MAMA: [the book of knowledge (KITABU CHENYE ELIMU)]-
Ni katabu kadogo kenye Ibara saba-
1) UWEZA- cha kushikwa hili Mungu Atuwezeshe TUTENDE.
2) UTAJIRI- toba yenye kupokelewa, Mungu athletes mawingu yenye mvua tele, atupe Mali, watoto, mabustani na mito.
3) HUKUMU- wakuombwa ni Mungu peke yake, tuweze kushika Amri Zake 5.
4) NGUVU- tuadhomishe KALENDA UA uchaguzi iliyokuwepo tangu mbinu na ardhi kuumbwa.
5) HESHIMA- tuwe watiifu kwa Mungu, Rais anaye muweka Mungu mbele na wazazi wawili tuishi umri mkubwa
6) UTUKUFU- tufuate njia iliyo sawa na kunyooka na
7) BARAKA- tuwe mashahidi, waonyaji, watoa habari njema na tuwe taa itoayo nuru kwa vizazi na vizazi
KATIBA MWENZA: [CIVICS (ELIMU YA URAIA)]-
KATIBA hii ina SURA 57 kwenye Juz'u tatu.
1) Juz'u ya kwanza ....MAMBO YANAVYO TAKIWA KUWA,
2) Juz'u ya pili....ILI WATU WABARIKIWE na
3) Juz'u ya tatu....WATU WAWE WASIKIVU
Haya yanatoka wapi?
NI UTAFITI!
itaendelezwa