Katiba mpya na malengo ya Jumuiya Afrika Mashariki

Bulesi

Platinum Member
May 14, 2008
14,211
13,724
Jumuiya ta Afrika Mashariki ina lengo lake kubwa la kuimalisha uhusiano wa nchi wanachama katika siasa, uchumu , utamaduni , Utafiti , tekinolojia pamoja na mabo ya usalama. Hatima ya uhusiano wa nchi hizi wanachama ni kuwa na political federation. Sasa kama ni hivyo,je kuna umuhimu kwa sisi kuhakikisha kuwa katiba yetu mpya tunayotarajia kuiandika inashabihiana na katiba za wanachama wenzetu ili huko mbele tusiwe na kazi kubwa ya kuziainisha kwa gharama ambayo inaweza kuepukika?Nawasilisha.
 
Hii ni katiba ya Tanzania na si JAM...... hivyo hatulazimiki kuweka vitu kwenye katiba... ati ili mradi ilingane na za nchi zingine..... katiba lazima iwe na msingi wa kulinda maslahi ya wananchi na raslimali za nchi... na mengine yoote yataongezewa baadaye...
 
Hii ni katiba ya Tanzania na si JAM...... hivyo hatulazimiki kuweka vitu kwenye katiba... ati ili mradi ilingane na za nchi zingine..... katiba lazima iwe na msingi wa kulinda maslahi ya wananchi na raslimali za nchi... na mengine yoote yataongezewa baadaye...

Nchi wanachama wa jumuiya ya Afrika Mashariki wamekubaliana ratiba ya kufikia kila hatua mpaka kupata hilo shirikisho in fact they even formed a committee to fast track the political federation!! Sasa kama ni hivyo is it possibke to have a political federatipn of five states with heterogenous constitutions? Unaposema mengine yoote yataongezwa baadae you seem not to take into account the timetable agreed by the heads of states.!!!! Unless Rais wenu anasign mambo bila kuyaelewa anapokutana na wenzie; sintaona ajabu kwani kwa bongo anything is possible!
 
Nchi wanachama wa jumuiya ya Afrika Mashariki wamekubaliana ratiba ya kufikia kila hatua mpaka kupata hilo shirikisho in fact they even formed a committee to fast track the political federation!! Sasa kama ni hivyo is it possibke to have a political federatipn of five states with heterogenous constitutions? Unaposema mengine yoote yataongezwa baadae you seem not to take into account the timetable agreed by the heads of states.!!!! Unless Rais wenu anasign mambo bila kuyaelewa anapokutana na wenzie; sintaona ajabu kwani kwa bongo anything is possible!

Ngoja tusubirisauti ya Umeme FMES a.k.a W. Malecela akatusemee kama kweli wenzetu wanatupeleka speed!!
 
Back
Top Bottom