While you are looking for controversy add abortion rights as well
wataalam wa mahusiano naleta mjadala huku. nadhani ni mahali pake.
Je katika katiba mpya ni vipengele ngapi viiongezwa ,viongelewe, viweje..............
Napendekeza katika katiba:-
- zitambuliwe aina na level za mahusiano ya kimapenzi kisheria. kama Gf/Bf,partner fiancee,Wife/Husband. ielezwe mipaka katika haya mahusiano, haki na wajibu wa wahusika. Kiwepo chombo cha kuadikisha na kuratibu mahusiano haya
- Kwa sababu watoto wa karne hii dot com wanapevuka mapema katiba itamke kuanzia miaka 14 mtu yeyote ana haki ya ku "ngoneka" na "kuhusiana" bila woga
Je kwenye katiba mpya unataka uone vipingele gani as far as relationship is concerned?????
- Katiba itambue mapenzi ya jinsia moja (lesbian/gay)na mambo ya sex orientatiion . Ingawa Siuingi mkono lakini naleta kwa mjadala
Teh Teh Teh nawasilisha kwa mjadala
Whaaaaaaaaaaaaaaaat? Mambo ya udaku yaingizwe kwenye Katiba?
Thanks mkuu ubeside u nice point u made me refer to a dictionary and expand my vocabulary listI want to see pre-nup adequately and thoroughly addressed...
And to hell with alimony...
'Crime of passion' should be a valid defense in 'infidelity' related assault and murder cases and if the perpetrator is found guilty only probation and/ or community service should be the penalty. No incarceration.
Si kila kitu kinaainishwa kwenye katiba (Constitution) ya nchi. Kumbuka Katiba ni sheria mama. Mambo mengine yanakuwa yameainishwa kwenye ACTS mbali mbali.
I gathered he is just being facetious...
Facetious? Unanifanya nitafute Kamusi!
hahhaha mi nilishatafuta itabidi tumuweke meza moja na Kiranga maana na yeye huwa akiamua
teh teh
Hahahaa....just a little ostentatious display of the Queen's language.
Teh TehWord@ to hell with alimony
It should be clearly stated for how long married partners can be living apart before their marriage is dissolved naturally by law
( I think now it states only for how long people living together are considered married by law without undergoing a marriage contract)
*nampigia chapuo boss Slaa
hahaaahhahahha
Udaku uko wapi mtaalam au unataka katiba iongeleee NEC na siasa tu
Hayo mambo ya mipaka ya bf/gf, etc!
Teh Teh
So t 4 how long should married couples live apart before being considered naturally divorced.
What about two years either way?
You live together for two years you are considered married, you live apart for two years you are considered divorced ....)