William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
- Well, Katiba mpya and Katiba mpya wakati umefika wa kuondokana na Mawaziri kuwa Wabunge na pia Ma-RC wasiingie bungeni, na wanapoteuliwa na Rais, wakaidhinishwe na Kamati za Bunge za Wizara husika, na Kamati za bunge ziongezewe nguvu kisheria ili kusimamia uwajibikaji wa Viongozi wa juu wa taifa.
- Je tunawahitaji Ma-DC? So far sina uhakika na hili.
MUCH RESPECT PEOPLE!
William @ NYC, USA.: Mutuz Le Baharia!
- Je tunawahitaji Ma-DC? So far sina uhakika na hili.
MUCH RESPECT PEOPLE!
William @ NYC, USA.: Mutuz Le Baharia!