nyotanjema
Senior Member
- Sep 24, 2011
- 136
- 32
Heshima kwenu wana JF.
Nimepata kufatilia mijadala inayoendelea kuelekea uchaguzi mkuu wa Marekani kwa bahati nzuri nikashawishika kutambua yafuatayo
Nawasilisha (TUNAWEZA KUJADILI)
Nimepata kufatilia mijadala inayoendelea kuelekea uchaguzi mkuu wa Marekani kwa bahati nzuri nikashawishika kutambua yafuatayo
- Huwezi kuwa Rais wa Marekani kirahisi kama huko nyumbani/ africa inavyokuwa .
- Inabidi uwe na akili za ziada katika kujua kiuhalisia kile unachotetea maana inabidi uifahamu vizuri nchi yako na matatizo au challenge kwa ujumla maana kama ni siasa basi hizi zimekomaa sana huwezi kwepa maswali wala kuong'opa watu wanajua ukweli.(Huwezi kuwa Rais kama wewe ni kilaza na mpiga siasa tu)
Nawasilisha (TUNAWEZA KUJADILI)