Katiba Mpya: Clouds FM Wachochezi!

Katiba Mpya: Clouds FM Wachochezi!

Clouds ni chombo cha CCM, huko Dodoma wapo huyo PJ na mtu anaitwa Simalenga. Huyu simalenga nilishamwona kwenye Generali on Monday Channel Ten anatetea muundo wa serikali mbili nguvu kweli kweli, na hisi na yeye ni CCM pia.
 
U have lost your objectivity hata kibonge na jahazi wote kama hoja ya uzalendo ni kuishabikia ccm ........ very misdirected viva radio one for presenting the facts as it is
 
Mimi hilo li clouds radio na tv, naliona kama kichaka tu.Hasa huyu mtu anaitwa Kibonde, Hando wanakera sana.lakini wajue hata wateja wanapungua sana kwao sababu ya ujinga wao wa kujiingiza ktk siasa.Hongera sana radio one na itv kwa kufanya kazi ki eledi
 
U have lost your objectivity hata kibonge na jahazi wote kama hoja ya uzalendo ni kuishabikia ccm ........ very misdirected viva radio one for presenting the facts as it is

Radio One is my best radio in TZ.
 
Redio ya mipasho hiyo mkuu nilishaigomea ka tbc siku nyingi tu
 
Hao jamaa wamegeuka kuwa chombo cha habari na propaganda za CCM...kwenye Tv yao ndani ya King`amuzi cha Azam huwa napita nikiwa nashuka chini kutazama Sentanta Tv yangu.
Nikakuta wameanzisha kitu wanaita Uzalendo Kwanza sijui nini niniiiii....jamaa anaongea nyuma background ni bendera ya Tanzania,anasema rangi ya blue ktk bendera ni bahari inayotuunganisha Tz Bara na Visiwani ili kuuimarisha Muungano.(Upotoshaji mkubwa,anasahau hiyo blue hata ziwa Rukwa inawakilishwa nayo)
Wanatumika kubeba hoja ya Serikali mbili,wanatumika kuua hoja ya serikali tatu na Mamlaka kamili ya Znz,wanapotosha watu juu ya kuidai Tanganyika itambulike.
Huyo PJ ni mzee fulani anayetumika bila kujijua....wasamehe bure,hata shule zao vichwani ni za mashaka,ni lazma wajipendekeze ili wabaki mjini
Bahati mbaya sana inasikilizwa na watu wengi mno!
 
Hongereni IPP Media(Radio one & ITV) Huku uraiani wananchi tunawakubali sana kwa kufanya kazi kwa Weledi.

Watu makini wote vyanzo vyao vya habari kupitia radio na Tv ni Radio one na ITV.
 
Hongereni IPP Media(Radio one & ITV) Huku uraiani wananchi tunawakubali sana kwa kufanya kazi kwa Weledi.

Watu makini wote vyanzo vyao vya habari kupitia radio na Tv ni Radio one na ITV.

Niko nasikiliza kipindi Radio One cha mazungumzo ya asubuhi. Wanahoji viongozi, wameanza na Tundu Lissu, na maswali yao siyo Leading ni ya kitaalamu kabisa. Na hapo bado wataita upande wa pili wa shilingi na serikali. Bigup!
 
Back
Top Bottom