Katiba Mpya Bado Shughuli Pevu-Warioba

Katiba Mpya Bado Shughuli Pevu-Warioba

Kikwete akiwa na busara asisaini hicho kipeperushi cha genge la Sitta walichokipitisha wiki iliyopita hapo Dodoma kama Rasimu ya katiba kwani itamletea fedheha huko mbele!!! Hakuna uwezekano hata siku moja kuwa baraza la wawakilishi wataipitisha hiyo Rasimu na huo ndio utakuwa mwisho wake hata kabla ya REFERUNDUM huko Zenj!!! Sitta na genge lake wamefanikiwa kuhalalisha matumizi makubwa ya fedha ya bunge la katiba kwa kupitisha kipeperushi ambacho hakiwezi kukubalika na Zanzibar kama ni katiba; kusaini hiyo document iliyopitishwa kiujanja ujanja na baadae kukwama huko Zanzibar ni sawa na kupokea cheki ya fedha ambayo tarakimu na maneno ya thamani ya hiyo cheki ni tofauti hivyo huwezi kucash benki na ukapata fedha!! Kwa vile kikwete amezoea kupokea cheki za aina hiyo basi pengine atasaini hicho kipeperushi!!!
 
BUCHANAN KAMA UMESOMA UMEKARIRI ILA KAMA HUJASOMA UPO ZAMA ZA UJINGA;NYERERE ALISEMA NYINYI MLIOFANIKIWA KWENDA SHULE ITUMIENI VYEMA HIYO FURSA MAANA NI ADIMU NA ELIMU MLIYOIPATA HAKIKISHEN JAMII INAPATA FAIDA YA ELIMU YENU.sasa wewe buchanan nilishakuambia katika thread zilizopita ukiingia jf ujipange hii sio sehemu ya porojo is a home of great thinker

Waliomfukuza Buchanan kuwa moderator hawakukosea; kwani sasa ndio anaonesha umbumbumbu wake mchana kweupe!!
 
Warioba apumzike sasa. Hizi porojo zake zimeshapitwa na wakati.
 
jenga hoja mkuu as to why
Kikwete akiwa na busara asisaini hicho kipeperushi cha genge la Sitta walichokipitisha wiki iliyopita hapo Dodoma kama Rasimu ya katiba kwani itamletea fedheha huko mbele!!! Hakuna uwezekano hata siku moja kuwa baraza la wawakilishi wataipitisha hiyo Rasimu na huo ndio utakuwa mwisho wake hata kabla ya REFERUNDUM huko Zenj!!! Sitta na genge lake wamefanikiwa kuhalalisha matumizi makubwa ya fedha ya bunge la katiba kwa kupitisha kipeperushi ambacho hakiwezi kukubalika na Zanzibar kama ni katiba; kusaini hiyo document iliyopitishwa kiujanja ujanja na baadae kukwama huko Zanzibar ni sawa na kupokea cheki ya fedha ambayo tarakimu na maneno ya thamani ya hiyo cheki ni tofauti hivyo huwezi kucash benki na ukapata fedha!! Kwa vile kikwete amezoea kupokea cheki za aina hiyo basi pengine atasaini hicho kipeperushi!!!
 
jenga hoja mkuu as to why

Ungesoma mpaka mwisho wa bandiko usingekuwa na haja ya kuandika upuuzi wako!! Sababu ni moja tu kwamba akisaini hicho kipeperushi huko mbele ataonenekana mbumbumbu kwani haitatapitishwa na baraza la wawakilishi; juu ya yote yeye mwenyewe alishatamka kuwa katiba isingepatikana kwani upatikanaji wa theluthi mbili kihalali haukuwepo kwenye bunge la katiba, unless hakujua alichokuwa anasema!!
 
Waliomfukuza Buchanan kuwa moderator hawakukosea; kwani sasa ndio anaonesha umbumbumbu wake mchana kweupe!!
Mkuu kama kuunga mkono Rasimu ya Warioba inayopendekeza Serikali ya Muungano dhaifu, egemezi na tegemezi ndio kuwa na akili basi akili za namna hiyo naomba zinipishe mbali!
 
Zanzibar wana katiba yao na mambo yao yanaenda. But uhuni wa Sitta utasababisha Tanganyika iendelee kuongozwa na katiba mbovu
Warioba/UKAWA ndio walitaka kutuingiza mkenge, afadhali walimshtukia mapema!
 
Ungesoma mpaka mwisho wa bandiko usingekuwa na haja ya kuandika upuuzi wako!! Sababu ni moja tu kwamba akisaini hicho kipeperushi huko mbele ataonenekana mbumbumbu kwani haitatapitishwa na baraza la wawakilishi; juu ya yote yeye mwenyewe alishatamka kuwa katiba isingepatikana kwani upatikanaji wa theluthi mbili kihalali haukuwepo kwenye bunge la katiba, unless hakujua alichokuwa anasema!!

sawa, ila WAJUMBE WENGI WA Baraza la Wawakilishi si ndio waliopiga kura ya ndio BMK?
 
sawa, ila WAJUMBE WENGI WA Baraza la Wawakilishi si ndio waliopiga kura ya ndio BMK?

Kule kwenye BUNGE LA KATIBA LA SITTA wabunge wote wa baraza la wawakilishi wa CUF ndio hao waliotoka na UKAWA sasa kule zenj CUF na magamba wana viti 50 kwa 50 kwenye baraza la wawakilishi hivyo kupata theluthi mbili ni kizungu mkuti na hapo ndio ninakwambia kuwa jamaa ataaibika kwa kutia saini hicho kipeperushi!! Kumbuka waZenj including Karume wamesema wazi wanataka SOVEREIGNITY!!! SHEEEEEEEEEEEEDA!!!
 
hata maalim kaapa kuingia mtaani
Kule kwenye BUNGE LA KATIBA LA SITTA wabunge wote wa baraza la wawakilishi wa CUF ndio hao waliotoka na UKAWA sasa kule zenj CUF na magamba wana viti 50 kwa 50 kwenye baraza la wawakilishi hivyo kupata theluthi mbili ni kizungu mkuti na hapo ndio ninakwambia kuwa jamaa ataaibika kwa kutia saini hicho kipeperushi!! Kumbuka waZenj including Karume wamesema wazi wanataka SOVEREIGNITY!!! SHEEEEEEEEEEEEDA!!!

 
Back
Top Bottom