Pulchra Animo
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 3,398
- 2,990
- Thread starter
- #81
..Yes, I am serious.
..I am not afraid of "making fun of myself" from time to time, otherwise how would I learn?
..Vinginevyo hebu tufafanulie ni mambo gani Rais anaweza kufanya na kutofanya anapokuwa nje ya nchi.
..Je, taarifa za uteuzi kutoka wakati Raisi yuko nje ya nchi, ni lazima imaanishe kwamba amefanya uamuzi huo akiwa nje ya nchi.
..Hakuna uwezekano kwamba alishaamua, isipokuwa taarifa ndio zilichelewa kutoka?
..Je, unadhani VP Dr.Mpamgo ndio alipaswa kuteua na taarifa iseme " kaimu Raisi amewateua ..." ?
..Ngoja tuwashirikishe wanasheria wetu hapa JF Pascal Mayalla, Petro E. Mselewa .
Action hutambulishwa na vitu vitatu: who, where, and when. Ukisoma press release utaviona hivyo vitu. Who: Samia; Where: Washington, D.C.; When: April 14, 2022.
Yes, kuna urgency, acting president (VP Dr. Mpango) angeweza kufanya hivyo. Vinginevyo, hilo lingeweza kumsubiri yeye Samia arudi.
Yapo majukumu mengi muhimu ambayo yamewahi kufanywa na acting presidents at different times. Kwa mfano, kuna miswada ya sheria kadhaa (ambayo nimewahi kuiona) iliyosainiwa kuwa sheria kamili na Judge Warioba (alipokuwa anakaimu kiti cha Rais)!