Katiba imelindwa au imevunjwa

kizuiani

Member
Jul 12, 2020
73
130
Nataka kujua wataalamu wa Sheria wanasemaje kuhusu uhai wa baraza la mawaziri pindi mtu mwingine anapokula kiapo cha kuwa Rais wa nchi .
 
Nataka kujua wataalamu wa Sheria wanasemaje kuhusu uhai wa baraza la mawaziri pindi mtu mwingine anapokula kiapo cha kuwa Rais wa nchi .
Baraza linabaki pale pale.
Ila sehemu ambapo patakuwa na ulazima wakufanya mabadiliko, mabadiliko hayo yatafanyika ila sio kwamba ni lazima kwa muda huu avunje baraza hilo nakufanya uteuzi mpya hivi sasa
 
Back
Top Bottom