Chachasteven
JF-Expert Member
- Jul 4, 2014
- 1,941
- 2,048
- Thread starter
- #61
Bongo ndo maana hatuendelei,mtu mwenyewe huna hata data za kueleweka na bado unajifanya mjuaji..st john inayotoa pharmacy haijafungia..Nyuzi zingine inabidi tu ucheke kwa hasira.
Chuo chenyewe TCU imekiwekea mkasi/× halafu wewe unaleta porojo.
Ningekuzaba vibao , ila sheria za nchi haziruhusu mtu kujichukulia sheria mikononi.