MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,707
- 71,003
Wakuu tumemsikia Tulia Akson alipokuwa anaongea kwenye uzinduzi wa ofisi ya Rais kuwa wabunge waliokuwepo pale ni wabunge wa ndiyo tu na akasisitiza wabunge wa CCM ambao wamefanikisha yote yale, lakini alipokuja Jenista Mhagama akasema kwa msisitizo kuwa wabunge wa vyama vyote wapo.
Swali ni kwa nini Tulia anadanganya umma wa watanzania? na kwa maslahi ya nani?, kwanini anasema uongo mbele ya umma mpaka Jenista akaweka sawa ukweli?
Swali ni kwa nini Tulia anadanganya umma wa watanzania? na kwa maslahi ya nani?, kwanini anasema uongo mbele ya umma mpaka Jenista akaweka sawa ukweli?