Oooh! Sorry mkuu sikuwaza., unajua naandika kwa kuiba iba. Si Unajua kazini tena. Ni Subaru Forester. Halafu speaking of that, hata impreza Nimetumia. Nikiwa dogo, nilitumia gx 100 cheser nikauza nikanunua impreza nayo sikukaa nayo sana kama mwaka tu.