Umevamia meli ya wagiriki bila nguo
Msameheni bure tuu.
Thread hukuiweka kwa lengo la kuuliza, lengo lako ilikuwa kuwaumbua, cha ajabu umeishia kuumbuka mwenyewe
Msameheni bure tuu.
ndo mana nikasema humu labda naweza kupata suluisho ..ona sasa mmenijuza kwamba babu nae alikuwa kiongozi..ningejua wapi mtoto wa 80
samahani mkuunimejikuta kuwavumbua waongo mwaka huu. Katika pita pita zangu istagram.. Kunradhi kaka yenu ni mara ya kwanza naingia humu basi nakutana na uongo na maajabu ya kutosha naona labda nishea humu nitapata uvumbuzi...
Leo ni ridhiwani kaweka picha hii ikionesha mwaka 1958 muheshimiwa raisi kikwete alikuwa mkuu wa wilaya pangani lakini wikipedia inasema alizaliwa october 1953.
Ina maana mkwere aliongoza wilaya akiwa na miaka mitano au ridhiwani katupiga changa la macho?
Bofya hapa (wikipedia) kuona umri wa raisi.
View attachment 257125View attachment 257125
nani katudanganya?
Bila shaka umeaibika aibu.!!?
samahani mkuu
unatoka rombo?
jamaa alitaka kueleweshwa ndiyo maana kalileta HumuNimejikuta kuwavumbua waongo mwaka huu. Katika pita pita zangu Istagram.. Kunradhi kaka yenu ni mara ya kwanza naingia humu basi nakutana na uongo na maajabu ya kutosha naona labda nishea humu nitapata uvumbuzi...
Leo ni Ridhiwani kaweka picha hii ikionesha mwaka 1958 muheshimiwa Raisi Kikwete alikuwa mkuu wa wilaya Pangani lakini Wikipedia inasema alizaliwa october 1953.
Ina maana Mkwere aliongoza wilaya akiwa na miaka mitano au Ridhiwani katupiga changa la macho?
Bofya HAPA (Wikipedia) kuona umri wa Raisi.
View attachment 257125View attachment 257125
Nani katudanganya?
ndo mana nikasema humu labda naweza kupata suluisho ..ona sasa mmenijuza kwamba babu nae alikuwa kiongozi..ningejua wapi mtoto wa 80
samahani mkuu
unatoka rombo?
jamaa alitaka kueleweshwa ndiyo maana kalileta Humu
Umeona eeh?
Sasa nikisema huyo shule aliyoenda alienda kusomea ujinga ntakuwa nimekosea?
Yani miccm inaona km imeaibishwa sasa ye alichokosea ni nini wakati alishasema huenda umu akapata jibu na kalipata sa mnalala nini?
Huyo Mrisho Kikwete ni babu yake Ridhiwani sio JK, fuatilia historia