Selwa
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 671
- 702
Nimejikuta kuwavumbua waongo mwaka huu. Katika pita pita zangu Istagram.. Kunradhi kaka yenu ni mara ya kwanza naingia humu basi nakutana na uongo na maajabu ya kutosha naona labda nishea humu nitapata uvumbuzi...
Leo ni Ridhiwani kaweka picha hii ikionesha mwaka 1958 muheshimiwa Raisi Kikwete alikuwa mkuu wa wilaya Pangani lakini Wikipedia inasema alizaliwa october 1953.
Ina maana Mkwere aliongoza wilaya akiwa na miaka mitano au Ridhiwani katupiga changa la macho?
Bofya HAPA (Wikipedia) kuona umri wa Raisi.
Nani katudanganya?
Leo ni Ridhiwani kaweka picha hii ikionesha mwaka 1958 muheshimiwa Raisi Kikwete alikuwa mkuu wa wilaya Pangani lakini Wikipedia inasema alizaliwa october 1953.
Ina maana Mkwere aliongoza wilaya akiwa na miaka mitano au Ridhiwani katupiga changa la macho?
Bofya HAPA (Wikipedia) kuona umri wa Raisi.
Nani katudanganya?