Feld Marshal Tantawi
JF-Expert Member
- Dec 24, 2014
- 609
- 1,007
Mwaka huu kenya moto utawaka moto kati ya wapinzan wawil wakubwa Luto na Odinga huku Odinga akiungwa mkono na Rais aliepo madarakani.
Kinachonogesha siasa za safar hii ni kitendo cha rais na makamu wake kutofautiana hadharan na kila mtu kuamua kufata njia yake
Najua mlimpo kenya mna wakat mgum sn wa kufanya maamuz hasa pale siku ya kupiga kura itapowadia
Hebu tujuzen katika kura za maon had sasa kulingana na vyanzo mbalimbali nani yuko mbele ya mwenzake katika kuelekea kwenye uchaguzi.
Naamin mliopo kenya mtatusaidia kwa ukaribu sn katika hili
Naomba kuwasilisha
Kinachonogesha siasa za safar hii ni kitendo cha rais na makamu wake kutofautiana hadharan na kila mtu kuamua kufata njia yake
Najua mlimpo kenya mna wakat mgum sn wa kufanya maamuz hasa pale siku ya kupiga kura itapowadia
Hebu tujuzen katika kura za maon had sasa kulingana na vyanzo mbalimbali nani yuko mbele ya mwenzake katika kuelekea kwenye uchaguzi.
Naamin mliopo kenya mtatusaidia kwa ukaribu sn katika hili
Naomba kuwasilisha