Kwa maoni yangu, comparison ya kushindanisha watu wawili wanaofanana kwa kuuliza nani zaidi, is not fair kwa members of academia!.
Swali la msingi lingepaswa kuwa "Compare and contrast Prof. Kabudi na Prof. Shivji.Kwa vile wawili ni waalimu wangu, naomba ku reserve comments zangu.
Pasco.
Both ni waalimu wa sheria UDSM
Both ni mabingwa wa sheria waliobobea kwenye constitution law.
Both ni vichwa mbaya, GPA ya 1st Class ya Kabudi (4.8) ni historical kwa UDSM haijawahi kufikiwa na mwanafunzi mwingine yoyote mpaka kesho!. Thinking Capacity and analysis ya Shivji ni kitu ingine.
Wote ni watu wa misimamo isiyoyumba ila mmoja ni extremist, mmoja ni moderate!.
Wote wawili ni watu wa msaada sana kwa wanafunzi wao, mimi nikiwa shuhuda, Kabudi ndio alikuwa supervisor wangu, Prof. Shivji alikuwa mentor wangu.
Mmoja anatanguliza mbele maslahi ya taifa, ikibidi kuipinda sheria kwa ajili ya maslahi ya taifa, anaweza ukaipinda kidogo ili kulinusuru taifa!, mwingine anashikilia misimamo ya kisheria!, maadamu sheria inasema hivi, hivyo ndivyo inavyotakiwa iwe, ikibidi nchi kuvunjika na ivunjike! lakini sheria ifuatwe!.
Wote ni wanasheria wanasiasa!, kuna uwezekano wa mmoja kuwa ni mshabiki, au mfuasi wa chama cha siasa, mwingine hana chama!.