Nani anafaa kuwa Waziri Mkuu kuchukua mikoba ya Majaliwa Kassim Majaliwa?

Nani anafaa kuwa Waziri Mkuu kuchukua mikoba ya Majaliwa Kassim Majaliwa?

lubajaro

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2015
Posts
1,612
Reaction score
884
Wanabodi,

1. Mh. Dotto BITEKO (Huyu alianza kuandaliwa mapema sana)
2. Mh. Prof. Kitila Mkumbo (Huyu alihusika katika kuandaa Dira ya Taifa na Ilani ya Chama)
3. Mh. Bashungwa (Mtoto pendwa wa Namba 1 ndiyo Waziri aliyehudumu wizara nyingi tofauti tofauti kwa kipindi kifupi sana)
4. Mh. William LUKUVI (Huyu ni Mkongwe na mzoefu zaidi kuliko mawaziri wote - ila umri umeenda)
5. Mh. Prof. Palamagamba Kabudi - (Huyu ni guru katika medani za siasa na Sheria - ila umri umeenda)
6. Mh. Tulia Akson (Huyu ni endapo itatokea)

Nawasilisha
 
20251111_150825.jpg
 
Mada kma hizi hatuzitaki..guys stop entertaining these mofos please tunahitaji ku concentrate na trhe 9 decemba
 
No 4, at least anafaa kidogo kwa wakati huu.
 
PM ni mwanamama.
Aliyekuwa wazir wa Ulinz aliyemaliza muda wake
.Stargomena Tax
 
Wanabodi,

1. Mh. Ditto BITEKO (Huyu aliandaliwa mapema sana)
2. Mh. Kitila Mkumbo (Huyu alihusika kuandaa Dira ya Taifa nirahisi kwake kuitekeleza endapo akiwa PM)
3. Mh. Bashungwa (Kahudumu Wizara tofauti tofauti kwa uadilifu na ni mnyenyekevu)
4. Mh. Simbachawene (Mchapakazi na Muadilifu)
5. Mh. Dr. Tulia Akson (Huyu atakuwa PM wa kwanza Mwanamke ili kuleta usawa)
6. Mh. LUKUVI (Huyu ni Mkongwe serikalini ila umri umeenda)
7. Mh. Kabudi (Huyu ni Mkongwe ila umri umeenda)

Nawasilisha
Rubbish
 
Hatuwambui wote!!!

Business as usual. Hakuna jipya hapo. Kinyesi kwa kinyesi.
 
IMG-20251113-WA0020.jpg

Kuna wakati Kigwa ana point, ila akiweka kabati akili yake kama maccm mengine ndio shida inapo anzia
 
Wanabodi,

1. Mh. Dotto BITEKO (Huyu alianza kuandaliwa mapema sana)
2. Mh. Prof. Kitila Mkumbo (Huyu alihusika katika kuandaa Dira ya Taifa na Ilani ya Chama)
3. Mh. Bashungwa (Mtoto pendwa wa Namba 1 ndiyo Waziri aliyehudumu wizara nyingi tofauti tofauti kwa kipindi kifupi sana)
4. Mh. William LUKUVI (Huyu ni Mkongwe na mzoefu zaidi kuliko mawaziri wote - ila umri umeenda)
5. Mh. Prof. Palamagamba Kabudi - (Huyu ni guru katika medani za siasa na Sheria - ila umri umeenda)
6. Mh. Tulia Akson (Huyu ni endapo itatokea)

Nawasilisha
Wote vilaza......Bandari ya Tanganyika imechukuliwa kwa miaka 50 kwa mkataba kanjanja na walikuwepo bungeni hawakupaza sauti.
 
Mada kma hizi hatuzitaki..guys stop entertaining these mofos please tunahitaji ku concentrate na trhe 9 decemba
Ukiona mada haikuhusu unapita vilee! Wewe subiri tarh Tisa yako kimyakimya wakakutie kilema au wakulime Shaba ya kichwa ....huku Nyuma uwaachie msala ndugu zako wa kutafuta maiti bila mafanikio.
 
Back
Top Bottom