Inategemea hapo, maana ombi means umoja, na maombi means wingi, so yote yanaweza kuwa majibu inategemea na swali, lakin sahihi hapo ni ombi mf. Yah ombi la ruhusa ya siku yau
Yah maombi ya ualimu
Ombi ni katika umoja maombi ni uwingi unapoandika barua ya kuomba kazi unawasilisha ombi na ndio maana mwisho inaandika "natumai ombi language litakubaliwa"," natumai ombi language litazingatiwa" kwahiyo usahihi kwa mtazamo wangu ni OMBI
Ombi ni katika umoja maombi ni uwingi unapoandika barua ya kuomba kazi unawasilisha ombi na ndio maana mwisho inaandika "natumai ombi langu litakubaliwa"," natumai ombi langu litazingatiwa" kwahiyo usahihi kwa mtazamo wangu ni OMBI
Inategemea hapo, maana ombi means umoja, na maombi means wingi, so yote yanaweza kuwa majibu inategemea na swali, lakin sahihi hapo ni ombi mf. Yah ombi la ruhusa ya siku yau
Yah maombi ya ualimu