bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,667
Kuna utata kidogo umejitokeza katika kuandika barua za Kikazi hasa upande wa kichwa cha habari.
Mfano kampuni X inatangaza Nafasi kumi za kazi andika barua kuomba nafasi hizo Je Kichwa cha habari kitakua.
YAH:Maombi ya kazi au YAH:Ombi la kazi?
Karibuni wataalamu wa Lugha mtujuze.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mfano kampuni X inatangaza Nafasi kumi za kazi andika barua kuomba nafasi hizo Je Kichwa cha habari kitakua.
YAH:Maombi ya kazi au YAH:Ombi la kazi?
Karibuni wataalamu wa Lugha mtujuze.
Sent using Jamii Forums mobile app