MUST & NIT wanatoa Bachelor of Science (Bsc) lakini ATC wanatoa Bachelor of engineering (BEng)..
Nini tofauti kati ya hizo ?
Bsc imeegemea zaidi katika theoretical lkn Beng imeegemea zaidi na Practical .
Katika vyuo hivo ulivotaja , graduate wa ATC wanakua competent zaidi na wanafanya vizuri katika soko la ajira kutokana na uelewa wa practical.