Luca Paguro
JF-Expert Member
- Mar 26, 2023
- 477
- 1,068
- Thread starter
-
- #21
Anhaa hapo nimekupata mkuuNmeangalia competition tuu Huku nje kwenye soko la ajira,Kwa baadhi waliosoma nit ninaowafaham wapo very shallow Yan,kiasi Cha wao wenyewe kujisemea n heri wangesoma tuu must.tofaut na tuliopita ATC / wale wa mbeya.
Hatuna deni na vyuo vyetu
Correct afate hapa.Chuo Bora Cha nyakati zote ni ATC,ila
Kwakua chaguo lako n mechanical na ATC wamekupa fani usiyoipenda,hayo ni maisha yako,fanya ukipendacho ata km kipo kwenye moto. nenda MUST,NIT sikushauri Kwa mechanical engineering.
Pole sana,kozi nzuri pia umechagua hongera .wazaz wako watafurahi soon waombee maisha marefu tuuMimi kusoma Advance nilikuwa sitaki, tulibishana sana na wazazi ila mwisho wakashinda wao. Na ni kweli Advance nilikuwa sisomi kihivyo nilikuwa nasubiri tu nimalize. Ila chuo hamna aliyenilazimisha, hii kozi sasahivi naenda kuisoma mwenyewe. Nilikuwa nataka kwenda Diploma ya Mechanical tangu nilivyomaliza form 4 ila wazazi wakanikatalia
Sasa hujui jinsi gani nilivyofurahi kuipata sasahivi
Mkuu Waweza elezea zaidi kwanini hii course?Nenda MUST, ni nzuri sana, pia nakushauri usome ELECTRO MECHANICAL ENGINEERING. Itakusaidia baadaye.
AmenPole sana,kozi nzuri pia umechagua hongera .wazaz wako watafurahi soon waombee maisha marefu tuu
Nenda MUST ndugu yangu ni mahali sahihi 👍🏿Wakuu baada ya kumaliza PCM form 6 nilichagua kujiunga na kozi ya Mechanical kwenye vyuo vinne Tanzania, ngazi ya Bachelor Degree
Selection zimetoka. Vyuo ni NIT, DIT, MUST na ATC
ATC nimekosa Mechanical wamenichagua Mechatronics. Sasa hii siitaki
Lakini NIT na MUST nimepata Mechanical ambayo naitaka. DIT nimekosa kabisa nafasi.
Naomba ushauri sasa, hapo inabidi niamue kati ya NIT au MUST kwa hiyo kozi.
Je, mnanishauri niende kusoma chuo kipi? Kipi hapo kiko vizuri kwenye kutoa elimu ya Mechanical kwa sababu nataka niwe vizuri, nina mpango wa kutumia hii knowledge ya Mechanical kwenye maisha yangu baadae hata kama nikikosa ajira
So naomba mnisaidie chuo kipi kipo competetive kwenye kutoa elimu kati ya hivyo viwili
Ahsante
NITWakuu baada ya kumaliza PCM form 6 nilichagua kujiunga na kozi ya Mechanical kwenye vyuo vinne Tanzania, ngazi ya Bachelor Degree
Selection zimetoka. Vyuo ni NIT, DIT, MUST na ATC
ATC nimekosa Mechanical wamenichagua Mechatronics. Sasa hii siitaki
Lakini NIT na MUST nimepata Mechanical ambayo naitaka. DIT nimekosa kabisa nafasi.
Naomba ushauri sasa, hapo inabidi niamue kati ya NIT au MUST kwa hiyo kozi.
Je, mnanishauri niende kusoma chuo kipi? Kipi hapo kiko vizuri kwenye kutoa elimu ya Mechanical kwa sababu nataka niwe vizuri, nina mpango wa kutumia hii knowledge ya Mechanical kwenye maisha yangu baadae hata kama nikikosa ajira
So naomba mnisaidie chuo kipi kipo competetive kwenye kutoa elimu kati ya hivyo viwili
Ahsante
NITWakuu baada ya kumaliza PCM form 6 nilichagua kujiunga na kozi ya Mechanical kwenye vyuo vinne Tanzania, ngazi ya Bachelor Degree
Selection zimetoka. Vyuo ni NIT, DIT, MUST na ATC
ATC nimekosa Mechanical wamenichagua Mechatronics. Sasa hii siitaki
Lakini NIT na MUST nimepata Mechanical ambayo naitaka. DIT nimekosa kabisa nafasi.
Naomba ushauri sasa, hapo inabidi niamue kati ya NIT au MUST kwa hiyo kozi.
Je, mnanishauri niende kusoma chuo kipi? Kipi hapo kiko vizuri kwenye kutoa elimu ya Mechanical kwa sababu nataka niwe vizuri, nina mpango wa kutumia hii knowledge ya Mechanical kwenye maisha yangu baadae hata kama nikikosa ajira
So naomba mnisaidie chuo kipi kipo competetive kwenye kutoa elimu kati ya hivyo viwili
Ahsante
Ingia kwenye website ya chuo ulichoapplyselection za vyuo umezipataje mkuu
MUST & NIT wanatoa Bachelor of Science (Bsc) lakini ATC wanatoa Bachelor of engineering (BEng)..Wakuu baada ya kumaliza PCM form 6 nilichagua kujiunga na kozi ya Mechanical kwenye vyuo vinne Tanzania, ngazi ya Bachelor Degree
Selection zimetoka. Vyuo ni NIT, DIT, MUST na ATC
ATC nimekosa Mechanical wamenichagua Mechatronics. Sasa hii siitaki
Lakini NIT na MUST nimepata Mechanical ambayo naitaka. DIT nimekosa kabisa nafasi.
Naomba ushauri sasa, hapo inabidi niamue kati ya NIT au MUST kwa hiyo kozi.
Je, mnanishauri niende kusoma chuo kipi? Kipi hapo kiko vizuri kwenye kutoa elimu ya Mechanical kwa sababu nataka niwe vizuri, nina mpango wa kutumia hii knowledge ya Mechanical kwenye maisha yangu baadae hata kama nikikosa ajira
So naomba mnisaidie chuo kipi kipo competetive kwenye kutoa elimu kati ya hivyo viwili
Ahsante
Zingatia na ubora wa elimu inayotolewa pamoja na mabadiliko ya Technology , Mechanical vs Mechatronics.Wakuu baada ya kumaliza PCM form 6 nilichagua kujiunga na kozi ya Mechanical kwenye vyuo vinne Tanzania, ngazi ya Bachelor Degree
Selection zimetoka. Vyuo ni NIT, DIT, MUST na ATC
ATC nimekosa Mechanical wamenichagua Mechatronics. Sasa hii siitaki
Lakini NIT na MUST nimepata Mechanical ambayo naitaka. DIT nimekosa kabisa nafasi.
Naomba ushauri sasa, hapo inabidi niamue kati ya NIT au MUST kwa hiyo kozi.
Je, mnanishauri niende kusoma chuo kipi? Kipi hapo kiko vizuri kwenye kutoa elimu ya Mechanical kwa sababu nataka niwe vizuri, nina mpango wa kutumia hii knowledge ya Mechanical kwenye maisha yangu baadae hata kama nikikosa ajira
So naomba mnisaidie chuo kipi kipo competetive kwenye kutoa elimu kati ya hivyo viwili
Ahsante
Confirm MUST Bwana mdogo, Japo ATC was the best
Lakini kati ya Mechanical na Mechatronics ipi ina soko. Nimefuatilia Mechatronics nimeona ina soko kubwa huko nje lakini nikaona wanaongelea sana sijui Robotics nkZingatia na ubora wa elimu inayotolewa pamoja na mabadiliko ya Technology , Mechanical vs Mechatronics.
Mitaala mingi ya Mechanical Tanzania ni ya zamani tofauti na kozi mpya ya Mechatronics inayolingana na Technology ya Robotics. Pia zingatia soko la ajira Tanzania . Ukiangalia ERB , Kuna graduate engineer 27 tu waliosajiliwa in Mechatronics Engineering mpaka sasa lakini upande wa Mechanical wapo 2000+
Ukitokea advance unasoma miaka 4 , diploma ndio 3. Usiangalia Leo Yako dili zaidi na future Yako, huoni Technology sinavyobadilika ?Lakini kati ya Mechanical na Mechatronics ipi ina soko. Nimefuatilia Mechatronics nimeona ina soko kubwa huko nje lakini nikaona wanaongelea sana sijui Robotics nk
Huku 3rd world countries naona kama haitakuwa na soko hivi.
Halafu hapa nina swali, kwenye TCU guidelines naona wameonesha kozi za Mechanical Engineering nk kwa chuo cha ATC bachelor yake inachukua miaka 3 ila vyuo vingine ni minne. Je, hii haimaanishi kwamba kuna vitu wamevipunguza kwenye mtaala wa ATC?
nimecheka sana daahNenda NIT. Kwa sasa NIT wanafundisha hadi urubani wa ndege na ndege za kufundishia wanazo
Hata hivyo, ushauri wangu haumaanishi kuwa unaenda kusomea urubani