dimaa
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 4,020
- 5,439
Kwenu;
Mapenzi ni ishu mtambuka, siku roho inapoumizwa ndo utajua dunia ilivyo.
Siku hiyo utaona kila kitu kinakuelemea, dunia yote ni chungu, ni kama umefiwa vile, ni upweke ulioje.
Maono yangu, kama ni mwanamke ameachwa ni hasara kubwa sana, tufanye mfano ametumika tokea akiwa binti mbichi, yawezekana hata bikra ametolewa na hiyo njemba, halafu inamuacha ghafla tu, itamuumiza sana.
Njemba imekutoa bikra, imetanua papuchi, una miaka zaidi ya 30, kumpata mtu sahihi ni ngumu, mwanamme gani atakubali kuchukua kitu iliyozeeshwa.
Ila mwanamme yeye ni ngoma mdundo, hata awe na miaka 40 bado atampata tu binti mbichi, na tena bikra.
Halafu hii kitu ya kuishi na kutaka kuoana dini mbili tofauti ni mbaya mno, mwanamke au mwanamme umekosa mtu sahihi kwenye dini yako?, tuzipende dini zetu. Tusiuze dini zetu kwa kigezo cha mali.
Tafakuri.
Mapenzi ni ishu mtambuka, siku roho inapoumizwa ndo utajua dunia ilivyo.
Siku hiyo utaona kila kitu kinakuelemea, dunia yote ni chungu, ni kama umefiwa vile, ni upweke ulioje.
Maono yangu, kama ni mwanamke ameachwa ni hasara kubwa sana, tufanye mfano ametumika tokea akiwa binti mbichi, yawezekana hata bikra ametolewa na hiyo njemba, halafu inamuacha ghafla tu, itamuumiza sana.
Njemba imekutoa bikra, imetanua papuchi, una miaka zaidi ya 30, kumpata mtu sahihi ni ngumu, mwanamme gani atakubali kuchukua kitu iliyozeeshwa.
Ila mwanamme yeye ni ngoma mdundo, hata awe na miaka 40 bado atampata tu binti mbichi, na tena bikra.
Halafu hii kitu ya kuishi na kutaka kuoana dini mbili tofauti ni mbaya mno, mwanamke au mwanamme umekosa mtu sahihi kwenye dini yako?, tuzipende dini zetu. Tusiuze dini zetu kwa kigezo cha mali.
Tafakuri.