Kati ya moyo(nafsi,roho) na ubongo, kipi ni chanzo cha hisia?

Maswala yote yanayotutawala yenye uhusiano na hisia iwe ya furaha, huzuni, uchungu na mengine kama hayo ni kazi ya Moyo/roho/heart ila inayotafasiri kwa maana ya kufanya au kupima jambo na ambao ni objective ni Ubongo/Brain!

Ubongo hutafasiri taarifa pasipo upendoleo au hisia tofauti na Moyo ambao maamuzi yake ni subjective!
na Kuna uhusiano gan kati ya roho na moyo
 
Chanzo Cha hisia sio ubongo

Ubongo ni kiungo Kama ilivyo kwa moyo na vinginevyo_Ila labda upate tofauti kupitia kazi kwamba hii ni ya kuwekea kumbukumbu ile ni ya kusukumia damu n.k

Vipo vichocheo a.k.a gland ndani ya mwili wa mwanadamu ambavyo huusika na uchochezi wa hisia za Kila namna ndani ya mwili wa kiumbe

Na Kuna Master wa hivyo vichocheo ambayo inaitwa pitutal gland Kama sijakosea(a third eye) na hifadhi yake ipo katika ya ubongo

Kwa wale watu wa mambo ya kiroho wanajua thamani ya hiyo kitu huwa unaweza ita pia patakatifu(pitutal gland) pa patakatifu(ubongo) kwa maana ndipo ilipo bahari ya mafikirio yote(imagination) ya mtu

Sasa kwa kuwa lugha yetu ni dhaifu juu ya elimu ya kiroho pia inakuwa ni gumu kidogo kwenye uwasilishwaji

Mtu anaweza akawa na nia ya kulenga kitu hicho kwenye uwasilishwaji wa taarifa lakini mpokeaji akaelewa kivingine labda kulingana na ujuha wa elimu husika



Sent using Jamii Forums mobile app
kwa hyo mkuu unataka kuniambia muhusika mkuu hapo ni hzo glands na wala si moyo au ubongo?
 
mkuu ila Kuna watu wana moyo artificial Kwa upande wao ikoje
Moyo artificial?...unamaana kiungo cha kusukuma damu artificial?

Na kwamba kiungo hicho ndani mwake ndio kisima cha feelings na emotions?

Hapa tunaelezea software za Moyo/soul na sio hardware😉
 
Maswala yote yanayotutawala yenye uhusiano na hisia iwe ya furaha, huzuni, uchungu na mengine kama hayo ni kazi ya Moyo/roho/heart ila inayotafasiri kwa maana ya kufanya au kupima jambo na ambao ni objective ni Ubongo/Brain!

Ubongo hutafasiri taarifa pasipo upendoleo au hisia tofauti na Moyo ambao maamuzi yake ni subjective!
Moyo , unafanya maamuz mkuu

Are you sure ?!

Una idea yeyote kuhusu CNS and PNS ?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kichwa ndio kila kitu moyo unasingiziwa tu. Brain ina control kila kitu. Umemuona mtu ukaona umempenda ubongo unapiga hesabu zake faster faster uchukue hatua gani. Kutumia akili kwa haraka kunafanya moyo u pump damu kwa kasi ili kukimbiza oxygen kwenye ubongo ili ujue unachukua hatua gani kama kumsalimia au vipi. Ndio pale unasikia mapigo ya moyo yanaenda mbio
Hahahahaha asante mkuu bila shaka we ni love doctor.
Watu kweli wanaucngzia moyo masking 😁
 
Hapa kuna vitu umechanganya
Moyo ni kiungo kwenye mwili wa nyama, na ubongo pia ni kiungo kwenye mwili wa nyama
Halafu nafsi ni ni muunganiko wa roho na pumzi

Jr
bado naona nyota tu mkuu hapa naomba unielezee hii kitu imekaaje kwa ufahamu wako.
 
Maswala yote yanayotutawala yenye uhusiano na hisia iwe ya furaha, huzuni, uchungu na mengine kama hayo ni kazi ya Moyo/roho/heart ila inayotafasiri kwa maana ya kufanya au kupima jambo na ambao ni objective ni Ubongo/Brain!

Ubongo hutafasiri taarifa pasipo upendoleo au hisia tofauti na Moyo ambao maamuzi yake ni subjective!
bila kusahahu macho sbb yakisha ona itatengenezwa feeling na moyo,then brain itatafakali nitanyeje ili nifulfil my feeling.ndo utakuta mwingine ataamuakuiba,km ni mwanamke ataamua kufanya ufuska.
 
Moyo , unafanya maamuz mkuu

Are you sure ?!

Una idea yeyote kuhusu CNS and PNS ?!

Sent using Jamii Forums mobile app
Jenga hoja usiseme najua nini na nini sijui!

Moyo unatoa maamuzi yanayohusisha hisia (emotions, feelings na kadhalika)

Ubongo unachenjua taarifa, unatoa kumbukumbu lakini maamuzi hasa yanayohusiana na hisia ni kazi ya Nafsi soul!

Ndio maana unaweza ukajua kabisa kwa kutumia ubongo kwamba jambo hili ni baya na linamadhara kwangu iwapo nitalitenda (objective reasoning) lakini moyo ukasukuma kulitenda kwa sababu tu umekuwa sympathetically au you feel empathy kwa jambo au mtu flani.

Hawa wanaojilipua unadhani wansukumwa na ubongo au nafsi?
 
Jenga hoja usiseme najua nini na nini sijui!

Moyo unatoa maamuzi yanayohusisha hisia (emotions, feelings na kadhalika)

Ubongo unachenjua taarifa, unatoa kumbukumbu lakini maamuzi hasa yanayohusiana na hisia ni kazi ya Nafsi soul!

Ndio maana unaweza ukajua kabisa kwa kutumia ubongo kwamba jambo hili ni baya na linamadhara kwangu iwapo nitalitenda (objective reasoning) lakini moyo ukasukuma kulitenda kwa sababu tu umekuwa sympathetically au you feel empathy kwa jambo au mtu flani.

Hawa wanaojilipua unadhani wansukumwa na ubongo au nafsi?
Hoja yangu ndiyo hiyo ?!

Nmejaribu kukuuliza sababu , am simply a neuro scientist

Labda nltaka nkueleze , labda umenielew vibaya , sory !

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hoja yangu ndiyo hiyo ?!

Nmejaribu kukuuliza sababu , am simply a neuro scientist

Labda nltaka nkueleze , labda umenielew vibaya , sory !

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana sijakuelewa vibaya. Nimekuelewa kwa namna rahisi kabisa ya nilivyokuelewa.

Ni ushauri tu nilikupa angalizo. Maana hapa hujui unaongea na mtu wa taaluma gani!

Bahati mbaya sana mjengaji wa hoja mzuri hatangulizi cheo wala utaalamu alionao kutumika kama njia ya kutaka hoja yake ikubaliwe.

Kunahitajika majibu sahihi, kupitia majibu hayo watu watajua uu mtaalam katika eneo gani.

Usi underestimate mtu unayejenga nae hoja...kuna mazingira unaweza kukuta si tu ni mkuu wako bali bia Mwalimu wako!
 
Ingekuwa zamani JF ilipokuwa kwenye peak yake kulikuwa na vichwa humu hilo swali lingejibiwa tukaelewa wote.
Ila siku hizi JF imefulia, watoto wa Facebook na mashoga wa Insta wamelivamia jukwaa kwa fujo. Don't expect marvelous and mysterious answer.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ingekuwa zamani JF ilipokuwa kwenye peak yake kulikuwa na vichwa humu hilo swali lingejibiwa tukaelewa wote.
Ila siku hizi JF imefulia, watoto wa Facebook na mashoga wa Insta wamelivamia jukwaa kwa fujo. Don't expect marvelous and mysterious answer.

Sent using Jamii Forums mobile app
Upo kwenye kundi gani Kati ya hayo uliyoyataja?
 
Ingekuwa zamani JF ilipokuwa kwenye peak yake kulikuwa na vichwa humu hilo swali lingejibiwa tukaelewa wote.
Ila siku hizi JF imefulia, watoto wa Facebook na mashoga wa Insta wamelivamia jukwaa kwa fujo. Don't expect marvelous and mysterious answer.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sorry zamani ipi? Kwakuwa JF haina hata miaka 20

Jr
 
Maswala yote yanayotutawala yenye uhusiano na hisia iwe ya furaha, huzuni, uchungu na mengine kama hayo ni kazi ya Moyo/roho/heart ila inayotafasiri kwa maana ya kufanya au kupima jambo na ambao ni objective ni Ubongo/Brain!

Ubongo hutafasiri taarifa pasipo upendoleo au hisia tofauti na Moyo ambao maamuzi yake ni subjective!
Hata mahusiano moyo hauhusiki kila kitu kwenye mwili wa mwanadamu kunakua regulated na ubongo, kupenda, kuumia unapotendwa kutoa maamuzin.k. yote hayo yanakua regulated na ubongo.

Kuna nadharia moja inasema Wanasayansi wa zamani wa ugiriki waliamini kwamba moyo ndio sehemu pekee kwenye mwili inayotawala matendo yote ya mwili, hata kuwaza waliamini moyo ndio unawaza. Baadae ikaja kugundulika kwamba moyo ulibebeshwa majukumu ambayo sio yake ila kazi zote ambazo walikua wanafikiri moyo unafanya ikiwa kuwaza, kutoa maamuzi, kupenda, kuchukia, hisia za kila namna zinakua regulated na ubongo. Moyo kazi yake ikabaki kuwa ni organ inayo pump blood to various parts of the body.

Hivyo kupitia nadharia hiyo wapo baadhi ya watu walioamini kwamba kuna kazi bado zinaka zinafanywa na moyo kama maswala hayo ya mahusiano na hapo wengi hawakubali kwamba ubongo ndio unahusika wengi wanaamini ni moyo.

Ni mengi ya kuandika ila kwa muda wako pitia mtandaoni soma juu ya hili na utapata majibu ya tafiti zilizofanywa
image.jpeg
 
Mi nadhani moyo na ubongo vyote havihusiki na feelings, watu wengi wanaamini kuwa nafsi inaweza kuwa hai baada ya kuuacha mwili na ikawa na uwezo wa ku-feel na kufanya maamuzi huko ilipo bila kuwa na ubongo wala moyo... kwahiyo jibu hapo ni nafsi/roho ndio yenye uwezo wa kuwa na hisia
 
Maswala yote yanayotutawala yenye uhusiano na hisia iwe ya furaha, huzuni, uchungu na mengine kama hayo ni kazi ya Moyo/roho/heart ila inayotafasiri kwa maana ya kufanya au kupima jambo na ambao ni objective ni Ubongo/Brain!

Ubongo hutafasiri taarifa pasipo upendoleo au hisia tofauti na Moyo ambao maamuzi yake ni subjective!
Moyo kazi yake kusukuma damu hiyo kazi unayoupa ni ya kwako tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa kuna vitu umechanganya
Moyo ni kiungo kwenye mwili wa nyama, na ubongo pia ni kiungo kwenye mwili wa nyama
Halafu nafsi ni ni muunganiko wa roho na pumzi

Jr
Ubongo chakula chake maarifa.

Nafsi chakula chake imani.

Taarifa zinapotafsiriwa na ubongo nafsi huzipokea katika mlengo wa.hisia kutegemea na taarifa husika.

Kwa mtazamo.Wangu source ya vyote hivyo ni ubongo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom