Kati ya mkibosho na mmarangu????

Kati ya mkibosho na mmarangu????

Kifai

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2013
Posts
816
Reaction score
173
Jamani ushauri wenu unahitajika hapa plse, nina marafiki zangu wa kichaga, mmoja mchaga wa kibosho, mmoja wa marangu, wote ni warembo na nimekuwa nao bila wao kujijua, sasa very soon nataka nifanye maamuzi magumu ya kumpiga mmoja chini nibaki na mmoja tuu, mi c mwenyeji wa huko kwao moshi, nachoomba hapa ni tabia za kila sehemu watukapo, yani marangu na kibosho wana tabia gani?? Kwa wale wenyeji wa moshi msaada wenu plse
 
Weka habari kamili achana na tetesi.
 
Jamani ushauri wenu unahitajika hapa plse, nina marafiki zangu wa kichaga, mmoja mchaga wa kibosho, mmoja wa marangu, wote ni warembo na nimekuwa nao bila wao kujijua, sasa very soon nataka nifanye maamuzi magumu ya kumpiga mmoja chini nibaki na mmoja tuu, mi c mwenyeji wa huko kwao moshi, nachoomba hapa ni tabia za kila sehemu watukapo, yani marangu na kibosho wana tabia gani?? Kwa wale wenyeji wa moshi msaada wenu plse

Wewe ulikuwa nao wote wawili wa lengo gani? Kama ni kwa kuwasoma tabia majibu unayo Na wala so kuangalia ametokea Wapi. Anglia aliyekuridhisha Na mwenendo wake vuta jiko.
 
Mchaga mchaga tu wote tabia zoa ni sawa tu hata utamaduni wao pia
Sasa wewe uliyekaa nao ndio unaweza jua pumba na mchele sio sisi
 
Jamani ushauri wenu unahitajika hapa plse, nina marafiki zangu wa kichaga, mmoja mchaga wa kibosho, mmoja wa marangu, wote ni warembo na nimekuwa nao bila wao kujijua, sasa very soon nataka nifanye maamuzi magumu ya kumpiga mmoja chini nibaki na mmoja tuu, mi c mwenyeji wa huko kwao moshi, nachoomba hapa ni tabia za kila sehemu watukapo, yani marangu na kibosho wana tabia gani?? Kwa wale wenyeji wa moshi msaada wenu plse

Siku ukipigwa kisu cha tumbo usije ukachafua kisu cha watu na damu yako!
 
Jamani ushauri wenu unahitajika hapa plse, nina marafiki zangu wa kichaga, mmoja mchaga wa kibosho, mmoja wa marangu, wote ni warembo na nimekuwa nao bila wao kujijua, sasa very soon nataka nifanye maamuzi magumu ya kumpiga mmoja chini nibaki na mmoja tuu, mi c mwenyeji wa huko kwao moshi, nachoomba hapa ni tabia za kila sehemu watukapo, yani marangu na kibosho wana tabia gani?? Kwa wale wenyeji wa moshi msaada wenu plse

Kama unajihisi wewe ni msomi piga chini kibosho chukua mmarangu, lakini kama wewe ni wa elimu ya chini na shughuli zako si za kisomi somi achana na huyo mmarangu maana huko mbeleni utadharaulika sana.........mimi ni mkibosho
 
Mmarangu ni Mhaya wa Kilimanjaro....

Nawashauri hao dada zangu wasiolewe na Chasaka..

Leo umeongea ukweli Mmarangu ukishindwa kugegeda ujue wewe ni ----.nimewala sana mpaka kwenye mmmh nimekula.
 
Kaka maamuz yapo kwako coz wote umeshajua weakness zao na cfa stahiki iko upande gan?
 
"umevurugwa wewe" msemo wa bby wangu.

we unajua maana ya hilo neno, na kama huyo unaemuita baby anakuita vivyo basi ninyi ni majanga, tafuta maana ya hilo neno na usikubali akuite hivyo tena kama kweli ni bby wako anaekupenda
 
Leo umeongea ukweli Mmarangu ukishindwa kugegeda ujue wewe ni ----.nimewala sana mpaka kwenye mmmh nimekula.

We famba kweli.....Na maanisha ni Mhaya kwa mantiki ya kusoma na kuji-proud....

Angalia usije chafua hali ya hewa hapa..
 
We famba kweli.....Na maanisha ni Mhaya kwa mantiki ya kusoma na kuji-proud....

Angalia usije chafua hali ya hewa hapa..

Mwambie huyo simbilisi manake naona anakatia denge pumzi.
 
Back
Top Bottom