Ok,ngoja tusubirimapema sana kumsemea chochote. tumpe muda
Kwa legacy, simuoni anayemkalibia nyerere, alkuwa the great, tz ya kipindi kile ambyo mambo mengi yalikuwa zidumu fikra za mwenyekiti wa chama, bas mkapa huyu au Kikwete huyu angekuwa tajiri wa kwanza duniani...WanaJF habari zenu! Mwl. Nyerere katawala nchi yetu kama miaka 23 hivi. Mtukufu Mwinyi, Mh. Mkapa na Mh. Kikwete wametawala miaka kumi kila mmoja. Ni rais gani kwako unamuona ni bora zaidi ya wengine? toa na sababu ktk hilo. tazama:
1. Ukuaji wa uchumi
2. Umoja wa Watz
3. Amani na usalama
4. Demokrasia
5. Haki na uhuru wa mahakama
6. uhuru wa kutoa maoni na kusikilizwa
7. upambanaji wa rushwa hasa kubwa
8. n.k