yaliyomoyamo
JF-Expert Member
- Oct 17, 2014
- 603
- 452
Nimetafuta huawei y550 nimekosa! Sasa naomba kujuzwa kati ya huawei y530 na tecno h6 ipi ni nzuri zaidi niinunue..???!!!
kwa hapo better h6, ila still tafuta moto e, y550 ni better choice kwa budget hio
moto e sh ngapi?
Nimetafuta huawei y550 nimekosa! Sasa naomba kujuzwa kati ya huawei y530 na tecno h6 ipi ni nzuri zaidi niinunue..???!!!
Asante #chief lakin moto e haina front camera ndo inani-bore, na bettry is non-removable?! vipi hapo mkuu?!
moto e sh ngapi?
Nimetafuta huawei y550 nimekosa! Sasa naomba kujuzwa kati ya huawei y530 na tecno h6 ipi ni nzuri zaidi niinunue..???!!!
Shukran sana wakuu, nimepata mwanga! Kwa budget yangu ya 250,000 naimani nitafanya maamuzi sahihi,,,
Kariakoo duka gani kaka??Chief-Mkwawa hivi moto g bei yake inaendaje na unaizungumziaje maana mi katika pita pita zangu niliikuta kariakoo nikaulizia bei naambiwa laki 2. Je, ndo bei yake au?
Kaka, nimeamua kuanza kutumia windows phone, na nimepanga kuchukua Lumia 520. Na in most reviews nilizoziona ina performance nzuri sana. Je, ni duka gani kwa Dar ninaweza kupata kwa bei nafuu zaidi??dola 99 kwa sd200
dola 120 kwa sd401
ongeza kodi na faida then inakuja kama 250,000 hadi 300,000 huku kwetu. ila kwa wale wazee wa ku unlock unaweza ipata rahisi zaidi sababu kuna maeneo zinauzwa dola 50 tu.
Kariakoo duka gani kaka??
Mt.uhuru kama sikosei kuna duka pale mhudumu wake ni mwanaume anazijua sana simu yaani ukimuuliza anakupa maelezo ya kutosha mara nyingi huwa nakuta wateja wamejaa pale. Tofauti na hawa wengine anakutajia bei kisha anakubembeleza. Wakati mwenzao anatoa mpaka ushauri kwa wateja wake
Kuwa makini sana na huo mtaa una vitu fake na simu za t-mobile nyingi.Mt.uhuru kama sikosei kuna duka pale mhudumu wake ni mwanaume anazijua sana simu yaani ukimuuliza anakupa maelezo ya kutosha mara nyingi huwa nakuta wateja wamejaa pale. Tofauti na hawa wengine anakutajia bei kisha anakubembeleza. Wakati mwenzao anatoa mpaka ushauri kwa wateja wake