mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 16,043
- 35,934
Nilikuwa na mahusiano na mwanamke toka nchi moja barani ulaya tiliishi kwa muaka mitano,tukajaaliwa waroto wawili,mkataba ulipoisha akarudi kwao na watoto wangu nikabaki na boksa yangu tu.
Sasa nataka kuoa tena katika umri wangu huu wa miaka arobaini ila sijui nimuoe nani kati ya hawa.
1 Sara
Huyu ni binti mrembo mbichi kabisa miaka 22 ,kifaa hasa mtoto hana makuu kama ni gari imeembea km chache sana yuko tayari nimuo hata kesho ila tofauti ya umri inaniogopesha miaka 22 kwa 40
2 Sarafina
Huyu ni mdada nilisoma nae darasa moja O level aliokewa mara baada ya kumaliza form four ,ana watoto wawili,binti yake wa kwanza yupo chuo kikuu,analingana na huyo sara.
Sasa huyu single mother anazeeka na utamu wake,kiumri tunalingana na ni mrembo hasa,kipindi tunasoma alikuwa mzuri kuliko wasichana wote shule nzima,mumewe alipata ajali akafa,dada ni mpambanaji sana ana akili za maisha japo darasani alikuwa anashika mkia. Ananipenda sana na tunalingana umri anataka nimuoe fasta.
NB wote nimewaonja nii watamu balaa na kazi wanaiweza.na wote ni kabila moja.
Ushauri wenu wakuu nimuoe nani
Wote nawapenda
Dini yetu hairuhusu wake wengi
Sasa nataka kuoa tena katika umri wangu huu wa miaka arobaini ila sijui nimuoe nani kati ya hawa.
1 Sara
Huyu ni binti mrembo mbichi kabisa miaka 22 ,kifaa hasa mtoto hana makuu kama ni gari imeembea km chache sana yuko tayari nimuo hata kesho ila tofauti ya umri inaniogopesha miaka 22 kwa 40
2 Sarafina
Huyu ni mdada nilisoma nae darasa moja O level aliokewa mara baada ya kumaliza form four ,ana watoto wawili,binti yake wa kwanza yupo chuo kikuu,analingana na huyo sara.
Sasa huyu single mother anazeeka na utamu wake,kiumri tunalingana na ni mrembo hasa,kipindi tunasoma alikuwa mzuri kuliko wasichana wote shule nzima,mumewe alipata ajali akafa,dada ni mpambanaji sana ana akili za maisha japo darasani alikuwa anashika mkia. Ananipenda sana na tunalingana umri anataka nimuoe fasta.
NB wote nimewaonja nii watamu balaa na kazi wanaiweza.na wote ni kabila moja.
Ushauri wenu wakuu nimuoe nani
Wote nawapenda
Dini yetu hairuhusu wake wengi