Kati ya Dr. Ayub Rioba na Dr. Bashiru Ally, yupi ni mchambuzi mahiri kuliko mwenzie?

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Apr 2, 2015
8,018
16,802
Binafsi nimetokea kuwakubali sana hawa Wasomi wa kiwango cha juu na hujikuta nikivutiwa sana kuwasikiliza kila wawapo either redioni or runingani na nikiri kusema kuwa hawa wasomi Dr. Ayub Rioba na Dr. Bashiru Ally wamenishawishi kwa kiasi kikubwa nami kujiendeleza na kutaka kufikia mafanikio waliokuwa nayo hasa ya KITAALUMA na ya KIUCHAMBUZI na nimetokea KUWAPENDA mno na sana. si vibaya wenzangu labda mlio na mtazamo tofauti wa kuhusu UMAHIRI wao basi mkauweka hapa ili na sisi wengine tuujue na tuweze kujifunza.

ANGALIZO.


Hapa sitaki watu muanze kuleta maisha yao BINAFSI ya nje ya KAZI zao ( namanisha kuwa SITAKI au SIHITAJI UMBEA wala MATUSI dhidi yao na ni bora kama huna cha kuwaelezea basi upite tu ) bali nataka tuwachambue KISOMI au KITAALUMA kabisa na labda nitoe tu RAI yangu kwa Rais wangu KIPENZI kabisa Dr. John Pombe Joseph MAGUFULI kuwa ajitahidi kutizama ni wapi anaweza AKAWATUMIA hawa WASOMI wawili kwani MAARIFA yao MAKUBWA yanahitajika mno katika nchi yetu hii au taifa letu hili.

Popote walipo naomba hawa watu wawili WAPOKEE kwa dhati kabisa hizi SIFA zangu kwao hasa nikijua kuwa hata wao ni MEMBERS wazuri sana humu JF na bado naendelea KUJIFUNZA mengi kutoka kwao. kuwa watu ukiambiwa kuwa ni PhD holders wala hushangai mfano hawa watu wawili niliowataja hapa kwani zungumza na maarifa yao na bila kusahau uchambuzi wao ni jibu tosha kuwa WAMEIVA na ni wa HALI ya JUU kabisa ila kuna wengine ukiwaona au ukisikia kuwa ni PhD holders kila WAKISEMACHO na MATENDO yao HAYASHABIHIANI na uwezo wao wa KITAALUMA.
 
Last edited by a moderator:
Hivi Bashiru tayari ana Phd sasa!?

ukiona nimeweka UZI hapa basi ujue NIMESHAJIRIDHISHA otherwise sitakuwa naitendea haki id yangu hii ya cleverbright mkuu. ulidhani ni wewe tu peke yako ndiyo mwenye PhD? watu sasa wanazitafuta PhD za pili na za tatu katika nyanja au masuala mbalimbali na hawaishii tu kuitwa Dr. bali sasa wanaitwa Senior Dr. baki hivyo hivyo!
 
Bashiru kwangu ni zaidi, anachambua kwa ufasaha mpaka hutamani habari iishe, yuko vizuri.
 
Dr Ayub Rioba naweza kumwita, mchambuzi huru. Anafanana sana na mwanauchumi wa Uganda Ally Mutasa, japo fani zao zaweza kuwa tofauti, Huyo Bashiru Ali ni mzuri pia, ila kura yangu kwa masuala ya kijamii nampa Rioba
^^
 
Bashiru ni mchambuzi mzuri lakini inapofika kwenye eneo la ugaidi,IS,Middle East crisis,huwa anapwaya fulani ana bias fulani ambayo kwa jicho la tatu you can tell hajawa complete nadhani kwa hao wawili uliowashindanisha Rioba is a smarter and more independent analyst kumliko Mbashiru...lakini nje ya hao turufu yangu kwa sasa as far as Bongo analysts are concerned naitupa kwa Dkt. Kitila Mkumbo
 
Bashiru ni mchambuzi mzuri lakini inapofika kwenye eneo la ugaidi,IS,Middle East crisis,huwa anapwaya fulani ana bias fulani ambayo kwa jicho la tatu you can tell hajawa complete nadhani kwa hao wawili uliowashindanisha Rioba is a smarter and more independent analyst kumliko Mbashiru...lakini nje ya hao turufu yangu kwa sasa as far as Bongo analysts are concerned naitupa kwa Dkt. Kitila Mkumbo
Proffesor kitila mkumbo mkuu
 
Binafsi nimetokea kuwakubali sana hawa Wasomi wa kiwango cha juu na hujikuta nikivutiwa sana kuwasikiliza kila wawapo either redioni or runingani na nikiri kusema kuwa hawa wasomi Dr. Ayub Rioba na Dr. Bashiru Ally wamenishawishi kwa kiasi kikubwa nami kujiendeleza na kutaka kufikia mafanikio waliokuwa nayo hasa ya KITAALUMA na ya KIUCHAMBUZI na nimetokea KUWAPENDA mno na sana. si vibaya wenzangu labda mlio na mtazamo tofauti wa kuhusu UMAHIRI wao basi mkauweka hapa ili na sisi wengine tuujue na tuweze kujifunza.

ANGALIZO.


Hapa sitaki watu muanze kuleta maisha yao BINAFSI ya nje ya KAZI zao ( namanisha kuwa SITAKI au SIHITAJI UMBEA wala MATUSI dhidi yao na ni bora kama huna cha kuwaelezea basi upite tu ) bali nataka tuwachambue KISOMI au KITAALUMA kabisa na labda nitoe tu RAI yangu kwa Rais wangu KIPENZI kabisa Dr. John Pombe Joseph MAGUFULI kuwa ajitahidi kutizama ni wapi anaweza AKAWATUMIA hawa WASOMI wawili kwani MAARIFA yao MAKUBWA yanahitajika mno katika nchi yetu hii au taifa letu hili.

Popote walipo naomba hawa watu wawili WAPOKEE kwa dhati kabisa hizi SIFA zangu kwao hasa nikijua kuwa hata wao ni MEMBERS wazuri sana humu JF na bado naendelea KUJIFUNZA mengi kutoka kwao. kuwa watu ukiambiwa kuwa ni PhD holders wala hushangai mfano hawa watu wawili niliowataja hapa kwani zungumza na maarifa yao na bila kusahau uchambuzi wao ni jibu tosha kuwa WAMEIVA na ni wa HALI ya JUU kabisa ila kuna wengine ukiwaona au ukisikia kuwa ni PhD holders kila WAKISEMACHO na MATENDO yao HAYASHABIHIANI na uwezo wao wa KITAALUMA.
Dr Ayoub Ryoba ni msomi pekee wa kwanza nchini kwa level yake ya PhD katika masuala ya mawasiliano ya umma. Hutaki unaacha.
 
Bashiru ni mchambuzi mzuri lakini inapofika kwenye eneo la ugaidi,IS,Middle East crisis,huwa anapwaya fulani ana bias fulani ambayo kwa jicho la tatu you can tell hajawa complete nadhani kwa hao wawili uliowashindanisha Rioba is a smarter and more independent analyst kumliko Mbashiru...lakini nje ya hao turufu yangu kwa sasa as far as Bongo analysts are concerned naitupa kwa Dkt. Kitila Mkumbo

muwe mnazingatia vigezo na masharti ya UZI husika. nimewataja hapa watu wawili Dr. Ayub Rioba na Dr. Bashiru Ally tu na huyo Dr. Kitila Mkumbo hapa ameingiaje? kama vipi muanzishie basi UZI wake. umenikera!
 
muwe mnazingatia vigezo na masharti ya UZI husika. nimewataja hapa watu wawili Dr. Ayub Rioba na Dr. Bashiru Ally tu na huyo Dr. Kitila Mkumbo hapa ameingiaje? kama vipi muanzishie basi UZI wake. umenikera!

Pole kwa kukerwa na maoni usingeleta uzi,nimekujibu nikaweka muono wangu shida iko wapi...jibu lako hujapata?
 
Wote wako sawa
Kila mmoja ana phd
Kila mmoja ni mjamaa
Kwenye Uchambuzi kila mmoja atavutia upande wake.
 
Issa Shivji,Chachage,Haroub Othmani,Lwaitama, hivi vichwa acha kabisa hao uliowataja ni waganga njaa tu,bashiru ally mdini,rioba mlevi wa pombe
 
Back
Top Bottom