Zote ziko vizuri Sana na zote ni rahisi kujiajili plus ajira zinatoka Mara kwa Mara kote
Changamoto kujiajili kwa Pharmacy mtaji mkubwa labda ufungue DLDM Ila lab hazihitaj mtaj mkubwa Sana Kama Pharmacy
Mimi nimesoma Pharmacy, currently ni mfamasia.