Kati ya BABA na MAMA nani bora zaidi

Kati ya BABA na MAMA nani bora zaidi

Wote ni sawa. Hakuna aliye bora kuliko mwenzake maana bila baba hapatikani mtoto as well as bila mama hapatikani mtoto.
 
Inategemeana na baba au mama mwenyewe.Wazazi wa siku hizi wanatunza watoto hawalei watoto!!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Nadhani wababa ndio wanatoa mimba na kutupa watoto
 
Majibu ya swali hili yanategemea mtu kalelewa vzuri na mzazi yupi.
1.Kuna familia moja ya rafiki yangu ilteketea kwa sababu ya umalaya wa mama wa familia ilhali baba ni mwaminifu(and the opposite is true to others)
2.Pia utawazungumziaje wamama wanaolea watoto vibaya na kuwadekeza ovyo?
3.Kuna wapo waliopewa malezi bora na wazazi wote,mnalzungumziaje hili?
4.Mbwembwe za upendo wa mama(ktk familia nyingi)bila pesa za baba ni zero.
5.Mnawazungumziaje wamama wanaotupa watoto?Kina baba wanaotelekeza familia?
BINAFSI FATHER KANILEA VZURI KULIKO MOTHER,SO NAMKUBALI SANA KULIKO MOTHER.
 
kaka yangu watu8 wazazi wote ni BORA hakuna aliyebora zaidi ya mwenzake ila inategemeana
 
Last edited by a moderator:
kaka yangu watu8 wazazi wote ni BORA hakuna aliyebora zaidi ya mwenzake ila inategemeana
Hivi unadhani mwanaume na mwanamke wakifanya mambo yanayoshahibiana wapi kutakuwa na utofauti wa jinsia zetu?
Baba na mama katika familia wana nafasi tofauti, na nafasi zao hutegemeana na ;
1. Utofauti wa Jinsia
2. Mgawanyiko wa majukumu na wajibu

n.k
Sasa kama tuna utofauti wa mambo kadha wa kadha, utawezaje kutumia maneno "YUPI NI BORA?" ilihali maneno hayo ni linganifu "comparative"?
 
Nahisi lugha niliyotumia imejitosheleza na kama kuna kamusi ya kiswalhili naomba niazime kwani mm nimetekwa na lugha ngeni hivyo kiswahili kinanipa chenga
Hivi unadhani mwanaume na mwanamke wakifanya mambo yanayoshahibiana wapi kutakuwa na utofauti wa jinsia zetu?
Baba na mama katika familia wana nafasi tofauti, na nafasi zao hutegemeana na ;
1. Utofauti wa Jinsia
2. Mgawanyiko wa majukumu na wajibu

n.k
Sasa kama tuna utofauti wa mambo kadha wa kadha, utawezaje kutumia maneno "YUPI NI BORA?" ilihali maneno hayo ni linganifu "comparative"?
 
Nahisi lugha niliyotumia imejitosheleza na kama kuna kamusi ya kiswalhili naomba niazime kwani mm nimetekwa na lugha ngeni hivyo kiswahili kinanipa chenga

Sasa kama unapigwa chenga na lugha ya Kiswahili huoni kutakuwa na mushkeli kwenye udadavuzi wa maelezo yako?
Mwisho wa siku utaishia kujifaragua na kukwepa mantiki nzima ya kusudio la mjadala mama.
 
Hawa watu wawili kamwe huwezi kuwapima kwenye mizani moja kutokana na nature ya majukumu yao. Mama ana kazi ya kuangalia familia na baba ana kazi ya kutafuta haijalishi kama kuna wakati kila mmoja anamsadia mwenzake kwenye responsibility zake. As long as kila mmoja amefanya kazi yake vizuri basi hakuna aliye bora kuliko mwingine.

Kwako mtoa mada, tafsiri yako ya hiyo picha ya baba kwamba kusoma gazeti ni kutokujali familia sio sahihi, kulinganisha hizo picha mbili sio sahihi na kwa ujumla tafsiri yako kwenye hizo picha ina mapungufu mengi. Hebu jaribu kufikiri umeweka picha ya mbeba zege akiwa kazini na ukaweka picha ya mkewe yuko nyumbani anacheza na mtoto, ungesema jamaa hajali familia yake na anapenda kubeba makarai ya zege wakati mkewe akionyesha upendo kwa familia?
 
sijawahi kuliwaza hili....
naomba Mungu pia wanangu na wajukuu, vitukuu........ wasije wakawaza hili
 
Mada yako nzuri ila kuna mahali umenistua kidogo
'
Umemtolea mfano mama yako ulipozungumzia akina mama
'
Lakini ulipowazungumzia akina baba umetolea mfano "akina baba wa siku hizi"
'
Kaaaazi kwelikweli!
 
Back
Top Bottom