Katemwa TCU first Round, Tumshauri wadau

Katemwa TCU first Round, Tumshauri wadau

kimmswati

Member
Joined
Sep 2, 2016
Posts
77
Reaction score
48
Ndugu zangu Kuna ndugu yangu kapata 2 aliomba First priority health system n management Mzumbe.

Second akaomba UDOM Law.

Third akaomba mzumbe Law

Fourth akaomba UDSM Law

Na tano akaomba UDSM Law enforcement

Na kupigwa Chini

Msaaada wa vyuo ambavyo anaweza ku-apply kusoma law
Na afanye nini ili asikose hii second round?

But in mind kapata vyuo viwili vya kujaza ambavyo ni SAUT NA TUMAINI DAR.
Nyie mnaonaje ni right choice au

Msaaada wa vyuo vingine tafadhali wadau
 
Ndugu zangu Kuna ndugu yangu kapata 2
aliomba
First priority health system n management mzumbe
Second akaomba udom law
Third akaomba mzumbe law
Fourth akaomba udsm law
Na tano akaomba udsm law enforcement

Na kupigwa Chini

Msaaada wa vyuo ambavyo anaweza apply kusoma law
Na afany nini ili asikose hii second round

But in mind kapata vyuo viwil vya kujaza ambavyo ni SAUT NA TUMAINI DAR
Nyie mnaonaje ni right choice au

Msaaada wa vyuo vingine tafadhali wadau
Ndugu zangu Kuna ndugu yangu kapata 2
aliomba
First priority health system n management mzumbe
Second akaomba udom law
Third akaomba mzumbe law
Fourth akaomba udsm law
Na tano akaomba udsm law enforcement

Na kupigwa Chini

Msaaada wa vyuo ambavyo anaweza apply kusoma law
Na afany nini ili asikose hii second round

But in mind kapata vyuo viwil vya kujaza ambavyo ni SAUT NA TUMAINI DAR
Nyie mnaonaje ni right choice au

Msaaada wa vyuo vingine tafadhali wadau
ni pm
 
Me mdogo wangua alipata DDC -HKL
aliichagua
1)bachelor of arts with education-DUCE
2)B.education in management and admistratino-UDOM
3)B.Human resources-Mzumbe
4)B.of arts in political scince and public admistration
5)B.public admistration-Mzumbe
priority ni kama zilivyojipanga.
Hajachaguliwaa! je amekosea wapi na ushauri.wa kufanya chaguzi kwenye second selection..
Msaada wakuu
 
Huyo BAED nahisi inamuhusu Zaidi! Vyuo Ni Vingi Vinahitaji Watu wa BAED!
Lakini Kama Anasomea Sifa Basi Atakuja Jikuta Anaangukia DIPLOMA.
 
Me mdogo wangua alipata DDC -HKL
aliichagua
1)bachelor of arts with education-DUCE
2)B.education in management and admistratino-UDOM
3)B.Human resources-Mzumbe
4)B.of arts in political scince and public admistration
5)B.public admistration-Mzumbe
priority ni kama zilivyojipanga.
Hajachaguliwaa! je amekosea wapi na ushauri.wa kufanya chaguzi kwenye second selection..
Msaada wakuu
Unajua watu wengn nawashangaa sana unataka kusoma education ila unajaza kozi zingine ambazo hazieleweki. Kwanini usijaze education mwanzo mwisho . Huku nikutokujitambua inaonyesha jinsi gani watu walivyo vigeugeu... Angejaza education mwanzo mpaka mwisho asingekosa

Mwambie second round asifanye hivyo lasivyo atasota sana
 
Kuna link imetoka inaonesha vyuo na course zilizo baki na nafasi kwa sasa mwenye kuhitaji hyo link anichek watsap 0717202500
 
Ndugu zangu Kuna ndugu yangu kapata 2
aliomba
First priority health system n management mzumbe
Second akaomba udom law
Third akaomba mzumbe law
Fourth akaomba udsm law
Na tano akaomba udsm law enforcement

Na kupigwa Chini

Msaaada wa vyuo ambavyo anaweza apply kusoma law
Na afany nini ili asikose hii second round

But in mind kapata vyuo viwil vya kujaza ambavyo ni SAUT NA TUMAINI DAR
Nyie mnaonaje ni right choice au

Msaaada wa vyuo vingine tafadhali wadau
Anaishi Mbezi kwa sasa?
 
Hapo kweli wakuu ntapata second round?
1473794967303.jpg
 
Naombeni msaada wa hapo nisije nkafanya makosa tena
 
Unajua watu wengn nawashangaa sana unataka kusoma education ila unajaza kozi zingine ambazo hazieleweki. Kwanini usijaze education mwanzo mwisho . Huku nikutokujitambua inaonyesha jinsi gani watu walivyo vigeugeu... Angejaza education mwanzo mpaka mwisho asingekosa

Mwambie second round asifanye hivyo lasivyo atasota sana

Ni Wazi Kuna Kitu Bado Hujakielewa!! Sharti Moja La Kuomba na Kupata Chuo Ni Kuchagua Kuanzia Programs 3 tofauti, Na Mwisho Ni 5.
Sasa Usialamu Kwa Hilo Kwani Huwezi Chaguoa Program Moja tu Mwanzo Mwisho Hapo itakuwa Automatically Umeshakosa Chuo Kwani Hukufuata Shart La Udahili. Ni Lazima Uanze na Programs TATU.
 
Ni Wazi Kuna Kitu Bado Hujakielewa!! Sharti Moja La Kuomba na Kupata Chuo Ni Kuchagua Kuanzia Programs 3 tofauti, Na Mwisho Ni 5.
Sasa Usialamu Kwa Hilo Kwani Huwezi Chaguoa Program Moja tu Mwanzo Mwisho Hapo itakuwa Automatically Umeshakosa Chuo Kwani Hukufuata Shart La Udahili. Ni Lazima Uanze na Programs TATU.
Kwa hiyo mkuu kwa mfano mtu akachagua bachelor of arts with education vyuo vitano atakosa?
 
Ni Wazi Kuna Kitu Bado Hujakielewa!! Sharti Moja La Kuomba na Kupata Chuo Ni Kuchagua Kuanzia Programs 3 tofauti, Na Mwisho Ni 5.
Sasa Usialamu Kwa Hilo Kwani Huwezi Chaguoa Program Moja tu Mwanzo Mwisho Hapo itakuwa Automatically Umeshakosa Chuo Kwani Hukufuata Shart La Udahili. Ni Lazima Uanze na Programs TATU.
Si kweli mkuu naomba uongee kile ambacho una uhakika nacho, mimi binafs nilichagua elimu mwanzo mwisho na nimepata
 
Ndugu zangu Kuna ndugu yangu kapata 2 aliomba First priority health system n management Mzumbe.

Second akaomba UDOM Law.

Third akaomba mzumbe Law

Fourth akaomba UDSM Law

Na tano akaomba UDSM Law enforcement

Na kupigwa Chini

Msaaada wa vyuo ambavyo anaweza ku-apply kusoma law
Na afanye nini ili asikose hii second round?

But in mind kapata vyuo viwili vya kujaza ambavyo ni SAUT NA TUMAINI DAR.
Nyie mnaonaje ni right choice au

Msaaada wa vyuo vingine tafadhali wadau
je izo koz anazotaka kwenda kusoma kazion?
 
Back
Top Bottom