Katavi, mbuga yenye Viboko wengi duniani

Katavi, mbuga yenye Viboko wengi duniani

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,419
Reaction score
18,341
Kwa mujibu wa ITV, Katavi ndio mbuga yenye Viboko wengi kuliko mbuga yoyote. Ina viboko zaidi ya milioni 2.

Hii habari imenishangaza kidogo, sidhani kama mkoa Katavi una hata wakazi mil 2, ina maana viboko ni wengi kuliko watu?
 
Kwa mujibu wa ITV Katavi ndo mbuga yenyewe Viboko wengi kuliko mbuga yoyote. Ina viboko zaidi ya milioni 2.

Hii habari imenishangaza kidogo ,sidhani kama mkoa Katavi una hata wakazi mil 2 , ina maana viboko ni wengi kuliko watu ?
Yawezekana, si ndio maana viboko huwa wanavamia makazi ya watu, we unashangaa hiyo wakati isukumani kuna wazee unakuta kana mifugo buku!!!
na hako ni kazee kamoja tu vipo vingine vingi
 
Kwa mujibu wa ITV Katavi ndo mbuga yenyewe Viboko wengi kuliko mbuga yoyote. Ina viboko zaidi ya milioni 2.

Hii habari imenishangaza kidogo ,sidhani kama mkoa Katavi una hata wakazi mil 2 , ina maana viboko ni wengi kuliko watu ?
Ni mil 2 laki mbili na elfu sabini
 
Kwa mujibu wa ITV Katavi ndo mbuga yenyewe Viboko wengi kuliko mbuga yoyote. Ina viboko zaidi ya milioni 2.

Hii habari imenishangaza kidogo ,sidhani kama mkoa Katavi una hata wakazi mil 2 , ina maana viboko ni wengi kuliko watu ?
Kuna mto unaitwa Sitalike, ukienda utaacha kushangaa hiyo idadi.
 
yawezekana, si ndio maana viboko huwa wanavamia makazi ya watu, we unashangaa hiyo wakati isukumani kuna wazee unakuta kana mifugo buku!!!
na hako ni kazee kamoja tu vipo vingine vingi
Ni maajabu kweli
 
Kuna mto unaitwa Sitalike, ukienda utaacha kushangaa hiyo idadi.
Mkuu ukiangalia takwimu za mnyamaa anayeongoza kuua watu hapa Africa ni Kiboko, sasa kwa hao viboko wengi huko Katavi hawana madhara au wapo mbali na makazi ya watu kama tembo wanavyosumbua baadhi ya mikoa.

Halafu huko Katavi kuna mito tu? Hakuna ziwa la karibu?
 
mkuu ukiangalia takwimu za mnyamaa anayeongoza kuua watu hapa Africa ni Kiboko,sasa kwa hao viboko wengi huko Katavi hawana madhara au wapo mbali na makazi ya watu kama tembo wanavyosumbua baadhi ya mikoa.
Halafu huko Katavi kuna mito tu? Hakuna ziwa la karibu?
Je kuna mbuga iliyo kwenye makazi ya watu??? ( Kutoa Ngorongoro na wamasai)
 
Kwa mujibu wa ITV Katavi ndo mbuga yenyewe Viboko wengi kuliko mbuga yoyote. Ina viboko zaidi ya milioni 2.

Hii habari imenishangaza kidogo ,sidhani kama mkoa Katavi una hata wakazi mil 2 , ina maana viboko ni wengi kuliko watu ?
Aisee hizi ni habari njema kwa Taifa letu
 
Kama wataleta uharibifu, Waruhusu wadau wa nyama pori kuvuna Kiboko wachache kama itawezekana.
 
Hapo Mpanda watu watakuwa wanapiga sana nyama ya kiboko. Bila shaka pana bucha la nyama pori.
 
Takwimu za Magufuli alipokuwa Waziri wa mifugo. Analiambia bunge baharini tuna vifaranga bilioni tatu, milioni mia mbili, laki tano na tisini na mbili elfu...halafu bunge linamshangilia.

Katavi ni viboko wengi sana sana ila kusema milioni mbili na laki mbili ni uongo. Kwanini? Tafuta ukubwa wa kiboko mmoja kisha ujue anachukua ukubwa wa eneo gani kuishi. Pia piga hesabu kiboko mmoja anakula kiasi gani cha chakula, je hayo malisho si yangekuwa yameisha?

Viboko ni wengi ila milioni mbili....hapana.
 
Back
Top Bottom