Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 1,770
- 1,173
KATAVI KUUNGWA KWENYE GRIDI YA TAIFA
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limeokoa kiasi cha Shilingi Bilioni 58.4 ambazo awali zilikuwa gharama zikitumika kwa mwaka kuzalisha umeme kwa mafuta ya dizeli Mkoani Kigoma.
Shirika litaokoa kiasi cha shilingi bilioni 24.7 kwa kuunga Mkoa wa Katavi kwenye Gridi ya Umeme ya Taifa, mradi umefikia asilimia 94 na unategemewa kukamilika mwezi Aprili 2025.
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limeokoa kiasi cha Shilingi Bilioni 58.4 ambazo awali zilikuwa gharama zikitumika kwa mwaka kuzalisha umeme kwa mafuta ya dizeli Mkoani Kigoma.
Shirika litaokoa kiasi cha shilingi bilioni 24.7 kwa kuunga Mkoa wa Katavi kwenye Gridi ya Umeme ya Taifa, mradi umefikia asilimia 94 na unategemewa kukamilika mwezi Aprili 2025.