Nna jamaa yangu namuita BIGGY,
Zaman nilijua ni mwili wake wa asili,
Mpaka pale nivopata fursa ya kusafiri nae nje kama wiki hivi tuko pamoja.
Kutokana na uhaba wa sehemNyingi za kula vyakula vyetu hivi vya kiafrika
Huwa nakula vzur alfajiri sana,
supu na chapati moja kubwa, nasindikizia maji baridi afu ndo imetoka hiyo hadi jioni, sababu mizunguko inakua ni mingi sn na muda huwa hautoshi.
Sasa mwenzangu,
kila baada ya masaa 2 njaa INAUMA, kila anachoona wanakula anasimama na kula kdg
Anashangaa nawezaje kula supu na chapati asbh na nikatobia siku nzima.
Nkamwambia, ni mara kibao uwa nasahau kula.