makongora makongors
Member
- Jan 2, 2014
- 94
- 18
Kata hii imeongozwa na diwani wa CUF kwa miaka kumi na tano lakini diwani huyu hakuna alichowafanyia wananchi wa kata hii zaidi ya majigambo yake na kujiita msomi.
Mpaka leo shule ya kata ya Sekondari haijaisha tangu walipoanza michango mnamo mwaka wa 2007 mpaka leo, mbaya zaidi diwani huyu amelewa madaraka anaweka mikutano anatukana watu kuwa yeye awezi kubeba mizigo awezi kwenda kwenye vijiwe vya kaawa vinakaa kwenye majungu wakati ndio waliomueka madarakani.
Sasa ni muda wa wananchi kumchagua Sijaona.
Mpaka leo shule ya kata ya Sekondari haijaisha tangu walipoanza michango mnamo mwaka wa 2007 mpaka leo, mbaya zaidi diwani huyu amelewa madaraka anaweka mikutano anatukana watu kuwa yeye awezi kubeba mizigo awezi kwenda kwenye vijiwe vya kaawa vinakaa kwenye majungu wakati ndio waliomueka madarakani.
Sasa ni muda wa wananchi kumchagua Sijaona.