Kata kwa kata yaimaliza ccm njombe

Kata kwa kata yaimaliza ccm njombe

Rose Mayemba

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2012
Posts
721
Reaction score
1,017
Chama cha Demokrasia na maendeleo(CHADEMA) Mkoani Njombe kimeanza mikutano yake ya kata kwa kata kwa lengo la kujenga chama ikiwa ni pamoja na kutoa elimu ya uraia kwa wananchi wake.


Chama hicho ambacho kimeanza shughuli zake rasmi wiki iliyopita pia kupitia mikutano hiyo ina elimisha wananchi hao namna ya kuipata katiba mpya ambayo itazingatia matakwa na mahitaji yao na si matakwa ya wachache wenye nia ya kulihujumu Taifa.


Hatua hii imekuwa ni msumari mkali sana kwa chama cha Mapinduzi(CCM) ambao wamekuwa wakihaha huku na huko ili kuzuia watu wasihudhurie mikutano hiyo kwa kuhofia wananchi kukihama chama chao hivyo kuwahonga vijicent kidogo huku wengine wakitishiwa kufukuzwa kwenye vibanda vyao vya biashara.





Wakitoa kero zao wanawake wa kata hiyo kwa mgeni rasmi ambaye pia ni katibu CHADEMA wa wilaya ya Njombe Bwana Alatanga Nyagawa, wanawake hao walisema ni miaka mingi sasa wanahangaika na suala la maji japo swala hilo lilikuwa ni sehemu ya ahadi ya Mbunge wao Mh Deo Sanga ali maarufu kama JAH PEOPLE.


Wananchi hawa ambao pia wapo kwenye mchakato wa kupeleka mawazo yao kwenye mabaraza ya katiba wanausubiri kwa hamu ujio wa Mwenyekiti wa chama Mhe MBOWE akiambatana na Mhe John Mnyika pamoja na Mhe Tundu Lissu ambao wanatarajia kuhutubia mjini hapo tare 22/08 siku ya alhamis wiki ijao




Jana Jumamosi CHADEMA walikuwa katika kata ya UBENA katika mji wa makambako.


[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="align: center"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"]Katibu wa wilaya ya njombe Alatanga Nyagawa akihutubia mkutano huo.[/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]



Mwenyekiti wa jimbo jimbo la njombe kaskazini akihutubia

Katibu wa jimbo la Njombe Kaskazini bwana Bennedict kyando akihutubia​

Mhazini wa jimbo la njombe kusini bwana Kazimoto Edward akihutubia​



Mkufunzi ngazi ya msingi jimbo la Njombe Kusini bwana Emmanuel Kayombo akuhutubia katika mkutano huo
Rose Mayemba( mwenyekiti wa zamani chuo kikuu cha RUCO-CHADEMA) akihutubia wananchi wa kata ya Ubena

Sehemu ya wakazi wa Ubena waliohudhuria mkutano huo.
 
elimu ya uraia ndio mkomboz pekee wa mtanzania kwa sasa
 
Hii inaitwa gonga kote kote.....vita ya kutoa pepo siyo lelemama hususani pale linapokaribia kutoka ndo ushindani unakuwa mkubwa...Makamanda chochea moto.:yield:
 
Wakati Nape akitafuta mbinu za kuhamia CDM bila mafanikio Shibuda naye anatafuta mbinu za kurudi CCM bila mafanikio ila wote wakisubili kutimiza adhima yao 2015
 
safi sana... toeni elimu ya uraiaa ili 2015 tuwavue magamba vizuri....
 
Mwigulu ataleta na timu ya mpira huko kuzuia watu wasije
...wameshaanza tayari kamanda, wakiona chadema wana mkutano mahali wananunua pombe vilabu vyote wanawaambia wananchi wakanywe bure..
umasikini ni hatari sana maana wananchi wanaona bora pombe kuliko kuhudhuria mkutano
 
Chuma kikoli moto, watabana ngenge.

Historia haiishiwi wino.
 
Chama cha Demokrasia na maendeleo(CHADEMA) Mkoani Njombe kimeanza mikutano yake ya kata kwa kata kwa lengo la kujenga chama ikiwa ni pamoja na kutoa elimu ya uraia kwa wananchi wake.


Chama hicho ambacho kimeanza shughuli zake rasmi wiki iliyopita pia kupitia mikutano hiyo ina elimisha wananchi hao namna ya kuipata katiba mpya ambayo itazingatia matakwa na mahitaji yao na si matakwa ya wachache wenye nia ya kulihujumu Taifa.


Hatua hii imekuwa ni msumari mkali sana kwa chama cha Mapinduzi(CCM) ambao wamekuwa wakihaha huku na huko ili kuzuia watu wasihudhurie mikutano hiyo kwa kuhofia wananchi kukihama chama chao hivyo kuwahonga vijicent kidogo huku wengine wakitishiwa kufukuzwa kwenye vibanda vyao vya biashara.





Wakitoa kero zao wanawake wa kata hiyo kwa mgeni rasmi ambaye pia ni katibu CHADEMA wa wilaya ya Njombe Bwana Alatanga Nyagawa, wanawake hao walisema ni miaka mingi sasa wanahangaika na suala la maji japo swala hilo lilikuwa ni sehemu ya ahadi ya Mbunge wao Mh Deo Sanga ali maarufu kama JAH PEOPLE.


Wananchi hawa ambao pia wapo kwenye mchakato wa kupeleka mawazo yao kwenye mabaraza ya katiba wanausubiri kwa hamu ujio wa Mwenyekiti wa chama Mhe MBOWE akiambatana na Mhe John Mnyika pamoja na Mhe Tundu Lissu ambao wanatarajia kuhutubia mjini hapo tare 22/08 siku ya alhamis wiki ijao




Jana Jumamosi CHADEMA walikuwa katika kata ya UBENA katika mji wa makambako.


[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]Katibu wa wilaya ya njombe Alatanga Nyagawa akihutubia mkutano huo.
[/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]



Mwenyekiti wa jimbo jimbo la njombe kaskazini akihutubia


Katibu wa jimbo la Njombe Kaskazini bwana Bennedict kyando akihutubia



Mhazini wa jimbo la njombe kusini bwana Kazimoto Edward akihutubia






Mkufunzi ngazi ya msingi jimbo la Njombe Kusini bwana Emmanuel Kayombo akuhutubia katika mkutano huo

Rose Mayemba( mwenyekiti wa zamani chuo kikuu cha RUCO-CHADEMA) akihutubia wananchi wa kata ya Ubena

Sehemu ya wakazi wa Ubena waliohudhuria mkutano huo.

Nimecheka mpaka mbavu zimeuma. Hivi ni nani aliyekutuma uweke hizi picha humu? badala yakuifagilia cdm umeidhoofisha cdm. Kwani wahudhuriaji waonyesha ni viongozi wenyewe, wananchi walidharau hii mikutano. Sasa kichwa cha habari kilitakiwa kuwa ' KATA KWA KATA YAONYESHA CDM NI DHAIFU NJOMBE'.
 
...wameshaanza tayari kamanda, wakiona chadema wana mkutano mahali wananunua pombe vilabu vyote wanawaambia wananchi wakanywe bure..
umasikini ni hatari sana maana wananchi wanaona bora pombe kuliko kuhudhuria mkutano
Na ndio maana wanakesha kufanaya ufisadi ili wapate hela ya kuhonga wananchi
 
Lazima kieleweke na hakuna kuwaachia hawa jamaa..... kwa namna yeyote lazima tuendelee kubanana nao tu mpaka waachie na nchi iweze kuwa huru tena huru kwelikweli........
 
Rose

Teh teh teh...., hivi huko serious kweli?

Mbona kama huo mkutano umeuzuliwa na viongozi wa CHADEMA wa hayo maeneo (kwangu naona kama semina elekezi kwa viongozi wa CHADEMA).

Jambo lingine, hao makamanda wote waliokuwa na mike nawaona kama wachungaji, au nimekosea?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom