Kata kwa kata yaimaliza ccm njombe

Kata kwa kata yaimaliza ccm njombe

Chama cha Demokrasia na maendeleo(CHADEMA) Mkoani Njombe kimeanza mikutano yake ya kata kwa kata kwa lengo la kujenga chama ikiwa ni pamoja na kutoa elimu ya uraia kwa wananchi wake.


Chama hicho ambacho kimeanza shughuli zake rasmi wiki iliyopita pia kupitia mikutano hiyo ina elimisha wananchi hao namna ya kuipata katiba mpya ambayo itazingatia matakwa na mahitaji yao na si matakwa ya wachache wenye nia ya kulihujumu Taifa.


Hatua hii imekuwa ni msumari mkali sana kwa chama cha Mapinduzi(CCM) ambao wamekuwa wakihaha huku na huko ili kuzuia watu wasihudhurie mikutano hiyo kwa kuhofia wananchi kukihama chama chao hivyo kuwahonga vijicent kidogo huku wengine wakitishiwa kufukuzwa kwenye vibanda vyao vya biashara.





Wakitoa kero zao wanawake wa kata hiyo kwa mgeni rasmi ambaye pia ni katibu CHADEMA wa wilaya ya Njombe Bwana Alatanga Nyagawa, wanawake hao walisema ni miaka mingi sasa wanahangaika na suala la maji japo swala hilo lilikuwa ni sehemu ya ahadi ya Mbunge wao Mh Deo Sanga ali maarufu kama JAH PEOPLE.


Wananchi hawa ambao pia wapo kwenye mchakato wa kupeleka mawazo yao kwenye mabaraza ya katiba wanausubiri kwa hamu ujio wa Mwenyekiti wa chama Mhe MBOWE akiambatana na Mhe John Mnyika pamoja na Mhe Tundu Lissu ambao wanatarajia kuhutubia mjini hapo tare 22/08 siku ya alhamis wiki ijao




Jana Jumamosi CHADEMA walikuwa katika kata ya UBENA katika mji wa makambako.


[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="align: center"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"]Katibu wa wilaya ya njombe Alatanga Nyagawa akihutubia mkutano huo.[/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]



Mwenyekiti wa jimbo jimbo la njombe kaskazini akihutubia

Katibu wa jimbo la Njombe Kaskazini bwana Bennedict kyando akihutubia​

Mhazini wa jimbo la njombe kusini bwana Kazimoto Edward akihutubia​



Mkufunzi ngazi ya msingi jimbo la Njombe Kusini bwana Emmanuel Kayombo akuhutubia katika mkutano huo
Rose Mayemba( mwenyekiti wa zamani chuo kikuu cha RUCO-CHADEMA) akihutubia wananchi wa kata ya Ubena

Sehemu ya wakazi wa Ubena waliohudhuria mkutano huo.

Hii mbegu inayopandwa itakuja kuzaa matunda 100,1,000, 10,000 na 100,000. Natamani na kanda ya kusini wangeanza kazi hii. kwani huko watu wamelala fofofo
 
You cannot be serious!

Halafu ndiyo mnalala na kuota kuwa CHADEMA itakuwa na madiwani wengi nchini, Wabunge wengi nchini na Rais come 2015.

Anyway, Hata kulifurahisha janvi kwa mabandiko ya kuchekesha hapa JF nayo ni aina ya kuelimishana na kupashana habari.

Tunashukuru kwa taarifa yako ambayo is extremely hilarious.
 
Rose

Teh teh teh...., hivi huko serious kweli?

Mbona kama huo mkutano umeuzuliwa na viongozi wa CHADEMA wa hayo maeneo (kwangu naona kama semina elekezi kwa viongozi wa CHADEMA).
hammy D
nadhani hujanielewa vizuri, hiyo picha ya mwisho ni sehemu tu ya wananchi waliohudhuria mkutano huo..
watu walikaa kwa kutawanyika sana kwa sababu ya jua na pia ukumbuke huu ni mkutano wa kata tu...
Fanya zoezi hili.
Hebu itisha mkutano wako eneo hili hili halafu tupime nguvu ya CDM na CCM ila msibebe watu kwenye makarandinga na pia msifunge biashara zao kwa sababu ya mikutano hii utapata majibu.

lakini pia usikose kushuhudia umati utakaofurika mkpokea Kamanda wa anga alhamisi wiki hii
 
You cannot be serious!

Halafu ndiyo mnalala na kuota kuwa CHADEMA itakuwa na madiwani wengi nchini, Wabunge wengi nchini na Rais come 2015.

Anyway, Hata kulifurahisha janvi kwa mabandiko ya kuchekesha hapa JF nayo ni aina ya kuelimishana na kupashana habari.

Tunashukuru kwa taarifa yako ambayo is extremely hilarious.

Acha kuchanganyikiwa diwani, huu ni mkutano wa kata na hao watu unaowaona wamekuja kukiri wenyewe kuwa wametishiwa kufungiwa vibanda vyao kama watafika eneo la mkutano na hiyo ni sehemu tu ya waliohudhuria wengi wao walitawanyika kwa sababu ya jua...CCM wanaubavu wa kupata watu kama hawa bila vitisho? kuna wakati ukifika mtu mwenye busara hukubali matokeo na kurudi nyuma kujipanga
 
Lazma 2015 tuwaondoe hawa mafisadi yaliyochuma rasilimali zetu huku yanataka watto wao watutawale shame on you.yaani maccm
 
Back
Top Bottom