Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,992
- 218,924
Mgombea ubunge wa Chadema anayetarajiwa kushinda jimbo la Kwela Mh Daniel Naftari, ameendelea kuelimisha umma, ambapo amewaambia wananchi kwamba kuikumbatia CCM ni sawa na kukumbatia umasikini.
Ametoa mifano hai kwa kuwaomba wananchi hao waangalie umasikini wa kutupwa kwenye majimbo yaliyochangua CCM miaka nenda rudi
Ametoa mifano hai kwa kuwaomba wananchi hao waangalie umasikini wa kutupwa kwenye majimbo yaliyochangua CCM miaka nenda rudi