Sajenti
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 3,651
- 412
Justine Kasusura aliyeshitakiwa kwa kosa la wizi wa fedha dola za kimarekani milioni mbili ( 2ml.) akiwa mfanyakazi wa kampuni ya ulinzi ya Security Group ameshindwa katika rufaa yake aliyokata katika mahakama kuu ya Tanzania. Kasusura aliyehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela baada ya kukutwa na hatia ya wizi akiwa mlinzi wa kampuni hiyo alikata rufaa katika mahakama kuu kupinga adhabu hiyo, lakini rufaa yake hiyo iligongwa mwamba ambapo sasa adhabu hiyo ya miaka 30 jela itaambatana na viboko 6...