Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,300
- 108,330
Bosi kwani zilipendwa zikipigwa kwenye redio hazilii!!!?
zinasikika lakini inakuwa makelele tu mkuu...hazichezeki
Bosi kwani zilipendwa zikipigwa kwenye redio hazilii!!!?
View attachment 106885aaah!!mungu anaumba jamani....
zinasikika lakini inakuwa makelele tu mkuu...hazichezeki
Kuna wakati MUNGU anatenda kupitia mikono ya watu... ikiwemo mikono ya wachina....Tuache kufikilia kinyume na maumbile, Hatuwezi kumsifu mungu kwa vitu vidogo kama hivi ambavyo hata mchina anafanya
hivi mchezaji anae vaa kitambaa kwenye mkono wa kushoto kinaalama ya "c" hivi anaitwaje.......!!
mambo ya sugura....
Hahahaah!! Hizi fujo sasa. Ila anafaa sana.
Hahahaah!! Hizi fujo sasa. Ila anafaa sana.
sugura ndio ubini wako?mambo ya sugura....
sasa na huyu je? kaumbwa asubuhi
View attachment 106893
Wanawake wengi wa kiafrika wakizeeka na kuzaa hulingana tu, ndo maana wanaume daima tunatafutaga damu changa kabla jua halijafikia machweo..#fact
View attachment 106885aaah!!mungu anaumba jamani....