Kuna mambo ya kuzungumza na mengine sio......CDM ni chama chenye ukomavu uliosababishwa na matatizo hewa ya CCM. Hakwenda kuomba huruma za wananchi kuhusu aina ya hukumu iliyotolewa.
Amekwenda kuwashukuru kwa uelewa wao na kupanga mikakati ya ushindi ujao wa kishindo.
CCM wanasali kabla ya kula chakula- Wanaomba na kubembeleza kabla ya kuchaguliwa....wachague uone (5yrs) ndo mtaonana tena.
CDM wanasali kabla na baada kula chakula- Wanaomba na kubembeleza kabla na baada ya kuchaguliwa.