Hayo ni maazimio ya AU kupambana na Al-Shabaab kwa pamoja. Lakini pia utambue kwamba hawa magaidi hawachaguzi , huyu kasema ndiyo tumpige na yule hajasema tumuache. Sote tunapaswa kuuunga mkono kauli hiyo kwa vitendo yaani kuwa walinzi wa nchi yetu kwa kutoa taarifa kwa vyombo vya ulinzi pale tunaposikia au kuona dalili zozote za kuwepo kwa watu wa aina hii nchini mwetu.