GE2025 Kassim Majaliwa: Najua umakini na nia thabiti ya Samia kwa Watanzania

GE2025 Kassim Majaliwa: Najua umakini na nia thabiti ya Samia kwa Watanzania

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Majaliwa Kassim Majaliwa na Mbunge wa Ruangwa anayemaliza muda wake amesema kuwa anaifahamu Nia thabiti ya Dkt. Samia kwa watanzania na namna anavyotaka kuwaletea maendeleo.

Majaliwa amesema hayo akiwa katika Mkutano wa Kampeni uliofanyika Ruangwa leo na kueleza kuwa yeye Kama Msaidizi wake ambaye amezunguka nchi nzima ameona miradi mikubwa ambayo imekamilishwa chini ya Dkt. Samia akiwa Rais wa Tanzania.

 
Back
Top Bottom