Malcolm X5
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 1,628
- 2,721
Ehehehe🤣🤣🤣 ngachoka,yeah mengi sana,Siwezi kuamini huo upumbavu. Ni sawa na kuamini nadharia ya Annunaki na uwepo wa hizo 15 rept and humanoid families. Mbona wanakufa sasa kama wanauwezo wa kujigeuza maumbo yoyote au binadamu yeyote?!
Dunia ina mambo kweli😆😆
Family matters za kawaida tu au niseme ni kama utekelezaji wa covert missions flani alafu taifa linakuja kukiri ushiriki wake baada ya miaka kadhaa baadae...Ehehehe🤣🤣🤣 ngachoka,yeah mengi sana,
Ila kuna vitu huwa wanaficha kweli vinavyohusu familia zao mpaka certain period of time alafu wanaviweka kwenye public knowledge,ila sio hayo maconpiracies,ni family matters tu.
Yup kama mataifa mengine yoyote yanavyotunza hivyo vitu na sheria zao zinaruhusu kwa muda gani,mfano Us yenyewe kuna vitu kama UFO,watergate,moonlanding,nk nkFamily matters za kawaida tu au niseme ni kama utekelezaji wa covert missions flani alafu taifa linakuja kukiri ushiriki wake baada ya miaka kadhaa baadae...
Hivi hii issue ya Watergate scandal ilikuja kuwa revealed out baadae au ilibumburuka kipindi kilekilee baada ya wale five perpertrators kukamatwa?Yup kama mataifa mengine yoyote yanavyotunza hivyo vitu na sheria zao zinaruhusu kwa muda gani,mfano Us yenyewe kuna vitu kama UFO,watergate,moonlanding,nk nk
Tusubirie nini mkuu?Mtachoka bure kuijadili reptilian family!! Just wait and see
Ilibumburuka kipindi kile kile,ila kuna details walizihold kwa usalama kwa wakati huo,so baadae zikawa revealed baada ya mambo kutulia,mfano hata issue ya Snowden pia,sio kila kitu kimewekwa wazi kihivyo,mambo mengi yakifunguliwa itakuwa shida sana kuanzia America na Europe kwa ujumlaHivi hii issue ya Watergate scandal ilikuja kuwa revealed out baadae au ilibumburuka kipindi kilekilee baada ya wale five perpertrators kukamatwa?
Mwanaume ukifikia stage huwezi tomber bora ufe tuKama alikufa Brenzisk, na George soro nae kazeeka mpaka basi, hakuna mwenye dunia, wote tutakwenda na maji tu. Just a matter of time.
We jamaa wewe😂😂😂made my day aisee✋🏾 Tena dadekiMwanaume ukifikia stage huwezi tomber bora ufe tu
Mkuu GT heshima kwako. Huonekani hope everything is okay.Siku ukisikia "London Bridge is down " Fahamu Queen hayupo tena
sasa code name ya huyu jamaa sijui ni ipi
Operation forth bridge mkuu,Siku ukisikia "London Bridge is down " Fahamu Queen hayupo tena
sasa code name ya huyu jamaa sijui ni ipi
Mabadiliko yalianzia kwa Queen Elizabeth II, ingawa haijawekwa wazi kama alipata degree lakini ma professor wa Cambridge na Oxford walimuandaa kuwa kiongozi kwa muda mrefu. Hii ninasikia ilikua ni jitihada ya mama yake ambae hakutaka kupoteza Ufalme kwenye ukoo kwakua hajazaa mtotot wa kiume. Alihakikisha binti yake yuko vizuri katika maswala mengi hasa diplomasia.Hii crown ile series ya Netflix imeelezea vizuri sana,
Zamani kings and queens walikuwa wanasoma general knowledge tu,alafu mengine wangekuja kuyajua tu,sababu ni kwamba kings &queens wako answerable kwa mungu tu,sio kwa Raia,wenye wajibu na raia ni wanasiasa,maraisi prime menisters nk..hii ilimfanya queen abadilishe Mtizamo huo kwa watoto wake Charles, Prince of Wales - Wikipedia hii shule Inasemekana alisoma Baba yake prince philip,ilikuja hivi baada ya wake wa marais wa wakati huo waliokuwa wamesoma mfano mke wa rais wa marekani Jacqueline Kennedy kumdespise kama illiterate,mke wa jf Kennedy alikuwa msomi na model by thenhttps://www.cheatsheet.com/culture/why-queen-elizabeth-ii-didnt-like-jacqueline-kennedy.html/
Ukishakuwa tu uko kwenye royal bloodline,unatengwa toka mtoto,watu wanaajiriwa kukulea toka mamako anakunyonyesha,hii kitu hata diana ilimshindaga,ni mtawala anaandaliwahttps://www.moms.com/princess-diana-wanted-to-raise-her-boys-as-normal-as-possible/
Hawa ni waingereza...wana midomo sana kama waswahili wa buzaNimechoka na hizi conspiracies
- Meghan is a robot and Us spy
- Prince Charles is vempire
- Queen Elizabeth I was a man
- Queen Elizabeth II is cannibal
- Harry amuoa Meghan ili Brits waje kuicontrol America baadae baada ya mwanae mmoja kuwa rais wa Marekani.
witnessj
Hapa nakaziaMwanaume ukifikia stage huwezi tomber bora ufe tu
Mean what?Siku ukisikia "London Bridge is down " Fahamu Queen hayupo tena
sasa code name ya huyu jamaa sijui ni ipi
Yaan miaka 99 pia unamuombea apone jmn!Mungu awajalie ndugu yao apone.
Copenhagen Dn bila shaka huyu, Nipo ndugu yangu niko MMU kule siku hizi mambo ya kula kimasihara na story za kina khumbuMkuu GT heshima kwako. Huonekani hope everything is okay.