Kasi ya Rais Magufuli na CCM mpya balaa

Kasi ya Rais Magufuli na CCM mpya balaa

Joined
Aug 21, 2016
Posts
33
Reaction score
504
Kasi ya Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania mh John Pombe Magufuli inazidi kuwang'oa viongozi wachafu na wala rushwa katika Taifa letu!

Kasi hii ya awamu ya tano na inazidi kudhilishia umma wa watanzania kuwa ccm ni chama safi chenye viongozi wasafi wasiopenda rushwa hata kidogo !

Hajapita wiki moja baada ya waziri wa malisili na utalii mh Citizensfor Kigwangalla mzee field kutangaza kiama kuwa wale wote waliohusika kujimilkisha vitalu wawe viongozi wawe wamestaafu atawachukulia sheria kali .

Basi leo tumeshudia hao watu wakijondoa wenyewe kwa hiali yao! Hii ni kasi ya ajabu .Rais wetu ni mchapa kazi si mtu wa rushwa ni rais wa wanyonge anaetetea maslahi mapana ya watanzania ! Kwa kasi hiii ni lazima wezi wa mali za nchi,pembe za ndovu,faru,tembo nk ni lazma wajitoe wenyewe tu .
Nasikitshwa na kauli ya nyarandu kusema Tz inahitajika Katiba mpya nina swali kwake

-!kwani akiwa waziri hakuiona katiba mpya ina umuhimu hadi leo ndo aone ina umuhimu?
Aacha kudanganya umma aseme tu ukweli kilichomtoa ni Maliasili tu na kigwangallah hana mchezo hata kidogo atakufata huko huko .

Kuhama sio suluhisho umetuibia halafu unahama hapana! Hii ni kasi ya kubatizwa kwa moto lazima wezi wakimbie !

Nakupongeza sana Mh Rais kwa kazi nzuri unayofanya ya kuatumikia watanzania hata wanyonge! Pia nakupongeza waziri wa maliasili na utalii kwa kasi ulioanza nayo ya hatari.

CCM mpya,Tz mpya

Na Emanuel Uledi
 
Na, *Thadei Ole Mushi*

Nimekuwa nikiufuatilia mjadala wa Zitto anaoushikilia kuhusu pato letu la Taifa naona kama anatu-outshine sana sisi wana CCM.

Lazima tujue nani tunayebishana naye na tunatumia njia zipi kubishana naye. Kwa taarifa tu ZITTO ni mmojawapo ya wabunge wanaosoma vitabu sana akifuatiwa na wabunge wa CHADEMA. Kwa maana hiyo kuutafuta ukweli au uongo na kuujengea hoja kwake ni rahisi sana.

Huku CCM bahati mbaya hatuna wabunge wa aina hiyo wanaopenda kujisomea. Kwa maana hiyo hata kama Zitto atakuwa anatudanganya kwa statistics (data) watanzania wengi watamwelewa kwa kuwa hakuna mtu "bold" anayeweza kumjibu kwa data.

Kwa sasa jukumu la kupambana na Zitto, CCM tumemwachia Jerry Muro. Mtu ambaye hana Legal authority ya kujibu hoja zinazoelekezwa kwa Serikali ama Chama tawala.

Matokeo yake wananchi wengi wanamuona Jerry Muro kama mropokaji tu anayepiga gumzo mitandaoni ili kuilinda njaa yake hivyo wanajenga imani zaidi kwa Zitto Kabwe.

Niliwahi kusema, watu smart wanahitajika pale CCM kufanya covering kwa Serikali, yaani Chama kitoke kwanza kijibu hoja za wapinzani kabla ya Serikali, sio kuendelea kuwategemea watu aina ya Jerry Muro waliopuuzwa na watu.

Wanashindwaje kutafuta data kama Zitto na kuzijengea hoja? Hatuoni kuwa Zitto anatusogelea sana kwenye 18 zetu na anajitahidi kung'ang'ania suruali zetu ili tubaki uchi?

Njia nyingine ni kuhakikisha tuna block information zote muhimu katika vyanzo anavyotumia Zitto kabwe. Hata suala la Bombadia kukamatwa kule Canada alianza kulihoji Zitto kabla ya Lissu.

Kwa maana hiyo Zitto ana reliable source za kupata information kuliko wapinzani wote. CCM tupo wapi kujibu tuhuma hizi za Zitto? Je, Jerry Muro anatosheleza kutoa clarification kwa wananchi?

Nani anayejua kama Zitto anatudanganya ama lah!

Tufike mahali tuangalie hadhira tuliyonayo ni aina gani, Je, Propaganda zetu zinatosheleza au hadhira tuliyonayo kwa sasa inahitaji fact?

Wapiga kura wa 2020 wana tabia tofauti kabisa na wapiga kura wa kuanzia 1995 hadi 2015. Ni lazima tulizingatie hili na tuongeze ladha kwenye siasa zetu za CCM ili kukidhi matakwa ya watu wa sasa.
 
Mpendazoe ndo wewe ninayekufahamu au ni mwingine?? Ndo wewe uliyesema kwamba umeachana na ccm mwaka 2011?? Ndo wewe uliyekua mpinzani wa kweli wa ccm?? Anyway mwenyekiti alishawahi kusema, nyie ni ng'ombe waliokatwa mikia
 
Naomba nikuulize mzee Mpendazoe, yule katibu aliyetumwa India kwa matibabu amesharudi? Hicho kinachoitwa kipya kimezaliwa lini au kwa kuwa ni wakwetu?
 
Mzee tulia tu ule zako kama unakula, tushavurugwa vya kutosha, mnajikaza tu ila hata kwenu mambo sio mambo wacha porojo zisizo na msingi,ama ndo ile ukipiga makelele sana ndo unapendwa, acha wanaojitambua waondoke bakieni nyie mtafute shibe ya matumbo yenu
 
Hata mjisifie vipi, its a well known fact kwamba hiko chama kinaelekea shimoni awamu hii...
 
Kasi ya Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania mh John Pombe Magufuli inazidi kuwang'oa viongozi wachafu na wala rushwa katika Taifa letu!

Kasi hii ya awamu ya tano na inazidi kudhilishia umma wa watanzania kuwa ccm ni chama safi chenye viongozi wasafi wasiopenda rushwa hata kidogo !

Hajapita wiki moja baada ya waziri wa malisili na utalii mh Citizensfor Kigwangalla mzee field kutangaza kiama kuwa wale wote waliohusika kujimilkisha vitalu wawe viongozi wawe wamestaafu atawachukulia sheria kali .

Basi leo tumeshudia hao watu wakijondoa wenyewe kwa hiali yao! Hii ni kasi ya ajabu .Rais wetu ni mchapa kazi si mtu wa rushwa ni rais wa wanyonge anaetetea maslahi mapana ya watanzania ! Kwa kasi hiii ni lazima wezi wa mali za nchi,pembe za ndovu,faru,tembo nk ni lazma wajitoe wenyewe tu .
Nasikitshwa na kauli ya nyarandu kusema Tz inahitajika Katiba mpya nina swali kwake

-!kwani akiwa waziri hakuiona katiba mpya ina umuhimu hadi leo ndo aone ina umuhimu?
Aacha kudanganya umma aseme tu ukweli kilichomtoa ni Maliasili tu na kigwangallah hana mchezo hata kidogo atakufata huko huko .

Kuhama sio suluhisho umetuibia halafu unahama hapana! Hii ni kasi ya kubatizwa kwa moto lazima wezi wakimbie !

Nakupongeza sana Mh Rais kwa kazi nzuri unayofanya ya kuatumikia watanzania hata wanyonge! Pia nakupongeza waziri wa maliasili na utalii kwa kasi ulioanza nayo ya hatari.

CCM mpya,Tz mpya

Na Emanuel Uledi

UNAZEEKA VIBAYA SANA. UWE MUANGALIFU USIJEITWA MCHAWI TU.
 
Kasi ipi wewe? Ya kuleta maisha magumu? Ya kusema uongo kwamba uchumi unakuwa na tuna pesa nyingi? Ya kupunguza mikopo ya elimu ya juu toka 459 billions kwa wanafunzi 122,000 mwaka 2015/2016 na kufikia 147 billions kwa wanafunzi 31,000 tu?

Hebu acha kuandika yasiyoeleweka

Kasi ya Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania mh John Pombe Magufuli inazidi kuwang'oa viongozi wachafu na wala rushwa katika Taifa letu!

Kasi hii ya awamu ya tano na inazidi kudhilishia umma wa watanzania kuwa ccm ni chama safi chenye viongozi wasafi wasiopenda rushwa hata kidogo !

Hajapita wiki moja baada ya waziri wa malisili na utalii mh Citizensfor Kigwangalla mzee field kutangaza kiama kuwa wale wote waliohusika kujimilkisha vitalu wawe viongozi wawe wamestaafu atawachukulia sheria kali .

Basi leo tumeshudia hao watu wakijondoa wenyewe kwa hiali yao! Hii ni kasi ya ajabu .Rais wetu ni mchapa kazi si mtu wa rushwa ni rais wa wanyonge anaetetea maslahi mapana ya watanzania ! Kwa kasi hiii ni lazima wezi wa mali za nchi,pembe za ndovu,faru,tembo nk ni lazma wajitoe wenyewe tu .
Nasikitshwa na kauli ya nyarandu kusema Tz inahitajika Katiba mpya nina swali kwake

-!kwani akiwa waziri hakuiona katiba mpya ina umuhimu hadi leo ndo aone ina umuhimu?
Aacha kudanganya umma aseme tu ukweli kilichomtoa ni Maliasili tu na kigwangallah hana mchezo hata kidogo atakufata huko huko .

Kuhama sio suluhisho umetuibia halafu unahama hapana! Hii ni kasi ya kubatizwa kwa moto lazima wezi wakimbie !

Nakupongeza sana Mh Rais kwa kazi nzuri unayofanya ya kuatumikia watanzania hata wanyonge! Pia nakupongeza waziri wa maliasili na utalii kwa kasi ulioanza nayo ya hatari.

CCM mpya,Tz mpya

Na Emanuel Uledi
 
Mmmmmmmm! Poleni mbona mmechachamaa hivi. Kichindo cha Nyarandu. Mmejua sasa kwamba si kwa ajili ya Ubunge tu watu wapo CCM Ila kwa ajili ya haki, sheria na usawa katika jamii.

Hongera Nyarandu hawa wote walikuwa kimya kama maji mtungini. sasa ona shida hii uliyoileta wamepoteana kabisa kila mtu anaibuka kivyake tu.
 
Back
Top Bottom