CCM wamechanganyikiwa!

CCM wamechanganyikiwa!

Kuna kila dalili ccm wamechanganyikiwa, mara wanasema Tume ya uchaguzi inaipendelea ukawa, wanakuja kupiga Kampeni pale ambapo wametoka wenyewe. Lakini kubwa zaidi ni hii ya kukosa ubunifu na kuanza kutumia slogan ya mabadiliko, wanasema magufuli ni mabadiliko na mabadiliko ni magufuli!! Ama!! Hii slogan si ilianzishwa na mbowe wakati mgombea wa uraisi wa chadema Edward Lowassa alipokuwa anaongea na kina mama. Tena akawafundisha na namna ya kujibu kwa vitendo?! Kwa hali hii inaonyesha wazi kuwa ccm wamekosa sera na ubunifu. Na mwaka huu wataenda kushindwa vibaya kwenye uchaguzi.

Wapi Nipe Ninawe
 
... Chadema ndo wapo kwenye gunia hawajitambui hata kidogo
Lakini hao ambao hawajitambui ndio wapo clever kwa kuchagua ratiba ya kampeni inayowachanganya wale wanaojitambua. Unazungumziaje hili la chama kulalamikia NEC kupanga njama katika ratiba, ni dalili gani?
 
Nadhanı sehemu kubwa ya wana UKAWA wana matatizo ya kiakili.Mabadiliko ni nini haswa?Je Ukawa slogan yao si wanadai mabadiliko nje ya CCM?Wanachokinadi CCM n mabadiliko ndani ya CCM.
 
Mwaka wa maajabu,hatimaye baada porojo kugonga mwamba ccm wameanza kuhubiri siasa ya mabadiliko. Tunasema hivi hakuna pa kutokea,mabadiliko ya kweli yataletwa na UKAWA.
 
Kweli hayo yako wazi wamechanganyikiwa....na ukabila wanaogopa kuutumia japo wanakusudia
 
Hivi unamjua katibu wa ukawa na unajua yuko wapi na anafanya nini. Ukijibu utajua hali yenu ikoje
aliko yeye wa tz wapenda haki hawapo naye! aliko yeye yupo na wasiopenda mabadiliko, wasioitakia mema nchi.
 
Back
Top Bottom