jaba jumah
Senior Member
- Sep 24, 2015
- 150
- 50
Mwendo wa kampeni hapa nchini unaendelea huku vyama viwili vikipewa upatu wa kushika dola kati ya chama tawala CCM dhidi ya CHADEMA, kwa mambo yanavyo kwenda upepo umebadilika sana na kuonesha dhairi shairi kuwa mgombea wa CCM Dr John Pombe Magufuli kukubalika zaidi na watanzania kila anapopita na kunadi sera zenye nia thubutu za kuwaletea watanzania maendeleo yaliyo kweli na ya uhakika na kwa wakati muafaka.
hii ndyo sababu kubwa inayompa Magufuli kiki ya kushika dola tofauti na mpinzani wake ambae ameonekana hana sera za kuwaletea maendeleo!
Chagua Dr John Pombe Magufuli kuwa rais wa awamu ya 5 kwa maendeleo ya haraka.
hii ndyo sababu kubwa inayompa Magufuli kiki ya kushika dola tofauti na mpinzani wake ambae ameonekana hana sera za kuwaletea maendeleo!
Chagua Dr John Pombe Magufuli kuwa rais wa awamu ya 5 kwa maendeleo ya haraka.