jambotemuv
JF-Expert Member
- Feb 7, 2008
- 224
- 62
"Polisi walinda maghala ya samaki wenye mionzi
Na Moshi Lusonzo
27th July 2011B-pepeChapaMaoni
Askari polisi wakilinda malori yaliyopakia samaki wanaohofiwa kuwa na mionzi ya nyuklia, yakiwa yamehifadhiwa ndani ya kampuni ya Alpha Krust ya jijini Dar es Salaam jana.Serikali imeamua kuweka ulinzi mkali katika maghala ya kuhifadhia samaki ya Kampuni ya Alpha Krust ili kuhakikisha samaki hao wanaohofiwa kuathiriwa na mionzi ya nyuklia hawatolewi kinyemela."
Wadau, hivi serikali yetu na mamlaka zake hawakujua makontena haya yaja Tz? Iweje yameruhusiwa kuingia na hata samaki kuanza kusambazwa na sasa twaanza kuchachamaa eti tunachunguza ubora wake? Hivi kweli Tanzani tuna uhaba wa samaki mpaka tuagiziwe toka Japoni? Tutegemee nini hapa kwa wandugu?
Na Moshi Lusonzo
27th July 2011B-pepeChapaMaoni
Askari polisi wakilinda malori yaliyopakia samaki wanaohofiwa kuwa na mionzi ya nyuklia, yakiwa yamehifadhiwa ndani ya kampuni ya Alpha Krust ya jijini Dar es Salaam jana.Serikali imeamua kuweka ulinzi mkali katika maghala ya kuhifadhia samaki ya Kampuni ya Alpha Krust ili kuhakikisha samaki hao wanaohofiwa kuathiriwa na mionzi ya nyuklia hawatolewi kinyemela."
Wadau, hivi serikali yetu na mamlaka zake hawakujua makontena haya yaja Tz? Iweje yameruhusiwa kuingia na hata samaki kuanza kusambazwa na sasa twaanza kuchachamaa eti tunachunguza ubora wake? Hivi kweli Tanzani tuna uhaba wa samaki mpaka tuagiziwe toka Japoni? Tutegemee nini hapa kwa wandugu?