Kashfa nzito ya Katibu Mkuu wa CHADEMA

Kashfa nzito ya Katibu Mkuu wa CHADEMA

KATIBU MKUU MPYA WA CHADEMA NI MIONGONI MWA WATUHUMIWA WA KESI YA JINAI YAKUSABABISHA VIFO VYA RAIA WASIO NA HATIA PALE ALIPOONGOXA MGOMO WA MADACTARI NCHI NZIMA AKIWA NA ULIMBOKA NA HATIMAYE WAGONJWA ZAIDI YA MIA MBILI KUPOTEZA NAISHA KUTOKANA NA MGOMO HUO,

LAKINI KATIBU HUYO ANAKASHFA YA UTAKATISHAJI DAWA ZA MSD NA KUWAUZIA WATU WA KAWAIDA NA KAZI HIYO ALIIFANYA AKIWA MUHIMBILI NA BAADA YA KUSHTUKIWA AKAKIMBIA KUKWEPA KUTUMBULIWA ILA KIAMA CHAKE KIPO.

KATIBU MKUU HUYO ANAELIMU YAKUUNGA UNGA YAANI VISETIFIKETI KIBAO KAMA VIRAKA VYA PACHA,

KATIBU MKUU HUYO WA MAJARIBIO HAUNGWI MKONO NA WANACHAMA WA CDM KWASABABU M/KITI WAO MBOWE AMELIPA FADHILA KWANI HUYO NDO MGANGA WA FAMILIA YA MBOWE KWA TAKRIBANI MIAKA ZAIDI YA MITANO.

HUYO KATIBU MKUU KILA ALIPOTITA HADI SHULE AMEKUWA NI MTU WAKUKUMBWA NA KASHFA NA TUHUMA ZA UBADHIRIFU.

CDM WAMEPOTEZA DIRA NA HAWAJAWAHI KUWA NA UELEKEO, KWANI MDA SI MREFU HUYO KATIBU WAO ATATUMBILIWA MAANA NI JIPU TENA NI JIPU HASWAAAAAAS

CHA AJABU USOMI WA HUYO BWANA LEVEL YAKE YA ELIMU NI SAWA NA KATIBU KATA WA UVCCM KATA YA KIHESA IRINGA UKITAKA KUMJUA JINA LAKE ULIZA WANACCM IRINGA.

HIYO NI ISHARA HICHO CHAMA KINAONGOZWA NA MAMBUGILAUTINR NA WATU WASIOJIELEWA.

USOMI UENDANI NA TIJA YAKO KATIKA JAMII MFANO MHONGO UKISEMA MSOMI WATU WANAJUA HUYU USOMI WAKE UNATIJA KWA DUNIA NA TAIFA,

SASA WEWE DACTARI WAKUTOA FUNZA FAMILIA YA MBOWE UNATUTISHIA USOMI SISI WATOTO WA MAGUFULI TOKA CCM THE HOME OF ONTELLECTUALS?

CCM IMARA

CCM MADHUBUTI

MAJIPU NA YAENDELEE KUTUMBULIWA

UPUUZI NA UPUUZWE HASWAAAAAA!!
Herufi kubwa tangu mwanzo hadi mwisho ni ishara kwamba umeomba kuanfikiwa stationary ukacopy na kupaste, pole sana kada mwenzangu, sasa kada mwenzangu ni hayo tu au bado wanaendeleakuchapa?
 
Mbona makala yako imejaa matusi tu au ndio wivu wa kike?
Huyu bwana amesoma sana.Je unataka kutuaminisha kuwa shahada zake ni za kughushi ama?
Alivyoandika kwa herufikubwa nikahisi dogo atakuwa hajamaliza darasa la 7, yeye ameona Katibu amesomea udaktari na mambo ya biashara akahisi ni kungaunga.
 
Uh hadi daktari mwenye masters ana elimu ya kuunga? Nadhani mleta uzi ndiye mwenye elimu ya kuunga maana aliyekufa hawezijua kinachoendelea na hii ni sawa pia kwa mpu---vu
 
Huna jipya wasalimie Kihesa Iringa wambie CHADEMA hakuna ukanda tena mmekosa la kusema mnaanza kutapatapa.
 
Ndio Maana Uwa Nawapa Makavu Live Hawa Misukule, Matokeo Yake Wanaomba Watu Wapigwe Ban!! Sasa Ww ULIYEPOST Huu UZI, Umesema Huyo Mh. Hafai Kuwa Katibu Mkuu, Kwa Vile Mtuhumiwa Wa Mgomo Huo, Je Sasa Kwa Kauli Ya MwanaCCM, Mbunge Na Naibu Waziri Wa Serikali Ya CCM, Dkt. Kigwangwala, Aliyesema Kuwa Mh. Katibu Mkuu Dkt. Mashinji Hakuwa Miongoni Mwao Kama Kiongozi Na Muasisi Wa Migomo Ile!! Yeye Kigwangwala Na Ulimboka Ndio Waliokuwa Viongozi Na Waasisi Wa Migomo Ile!! Nadhani Kila Mmoja Ameona Post Yake Mitandaoni!!! JE, Dkt. MASHINJI Ana Kesi Au Tuhuma Zipi!!!??
 
Naibu waziri Kigwangala kasema yeye ndio aliongoza mgomo na sio katibu mkuu wa Chadema!!!
 
Binafsi sijaelewa alichoandika mungu akuhurumie kwa kumnenea ndugu yako mbaya.
 
Nimeisoma Curriculum Vitae yake. Jamaa elimu yake ni ya kuunga unga sana.

Ana certificates nyingi balaa.
Dr Mashinji ni msomi wa kuigwa kama rais Mugabe wa Zimbambwe mwenye shahada saba na ni Rais msomi kuliko marais wote wa Afrika. Mashingi kishafikisha tano bado nne ziwe nane awe outstanding. Kudos Dr Vicent.
 
Katibu mkuu mpya wa CHADEMA ni miongoni mwa watuhumiwa wa kesi ya jinai yakusababisha vifo vya raia wasio na hatia pale alipoongoxa mgomo wa madactari nchi nzima akiwa na ulimboka na hatimaye wagonjwa zaidi ya mia mbili kupoteza naisha kutokana na mgomo huo,

Lakini katibu huyo anakashfa ya utakatishaji dawa za msd na kuwauzia watu wa kawaida na kazi hiyo aliifanya akiwa muhimbili na baada ya kushtukiwa akakimbia kukwepa kutumbuliwa ila kiama chake kipo.

Katibu mkuu huyo anaelimu yakuunga unga yaani visetifiketi kibao kama viraka vya pacha,

Katibu mkuu huyo wa majaribio haungwi mkono na wanachama wa CHADEMA kwasababu m/kiti wao mbowe amelipa fadhila kwani huyo ndo mganga wa familia ya mbowe kwa takribani miaka zaidi ya mitano.

Huyo katibu mkuu kila alipotita hadi shule amekuwa ni mtu wakukumbwa na kashfa na tuhuma za ubadhirifu.

CHADEMA wamepoteza dira na hawajawahi kuwa na uelekeo, kwani mda si mrefu huyo katibu wao atatumbiliwa maana ni jipu tena ni jipu haswaaa..!!

Cha ajabu usomi wa huyo bwana level yake ya elimu ni sawa na katibu kata wa uvccm kata ya kihesa iringa ukitaka kumjua jina lake uliza wanaccm Iringa.

Hiyo ni ishara hicho chama kinaongozwa na mambugilautinr na watu wasiojielewa.

Usomi uendani na tija yako katika jamii mfano mhongo ukisema msomi watu wanajua huyu usomi wake unatija kwa dunia na taifa,

Sasa wewe daktari wakutoa funza familia ya Mbowe unatutishia usomi sisi watoto wa Rais Magufuli toka CCM the home of ontellectuals?

CCM imara

CCM madhubuti

Majipu na yaendelee kutumbuliwa

Upuuzi na upuuzwe haswaaaaaa!!


Soma hii we Mpumbavu...Ujue aliongoza huo mgomo.

Hamisi Kigwangalla

Ndg. Dkt. Mashinji is a friend, brother and colleague. Hakuwahi kutuokoa mimi na Dkt. Ulimboka na hakuwahi kuongoza mgomo, sema alishiriki mgomo ulioongozwa na mimi na Dkt. Ulimboka.

Kiukweli, ni mwanasiasa mzuri, msemaji, msomi mzuri (tumesoma naye MBA chuo kimoja), sina hakika kama alimaliza masomo ya Ubingwa maana alinyanyaswa na Supervisor wake, akasusa akaamua kujiunga masomo ya
MBA, na sina hakika sana kuhusu 'msimamo usiotetereka'. Maana baada ya vitisho vya 2005, aliyumba sana na tulimtenga na ku-aVoiD kumualika vikao vya CC ya mgomo.

Hivyo, kama kigezo kilikuwa ni hii Historia, pole kwa CHADEMA.
 
Pumbavu ..ukitumwa kupost fikiri kwa ulichotumwa kipo sawa na watu watakipokeaje acha fitina ...umefaidika nini kupost upumbavu
 
Katibu mkuu mpya wa CHADEMA ni miongoni mwa watuhumiwa wa kesi ya jinai yakusababisha vifo vya raia wasio na hatia pale alipoongoxa mgomo wa madactari nchi nzima akiwa na ulimboka na hatimaye wagonjwa zaidi ya mia mbili kupoteza naisha kutokana na mgomo huo,

Lakini katibu huyo anakashfa ya utakatishaji dawa za msd na kuwauzia watu wa kawaida na kazi hiyo aliifanya akiwa muhimbili na baada ya kushtukiwa akakimbia kukwepa kutumbuliwa ila kiama chake kipo.

Katibu mkuu huyo anaelimu yakuunga unga yaani visetifiketi kibao kama viraka vya pacha,

Katibu mkuu huyo wa majaribio haungwi mkono na wanachama wa CHADEMA kwasababu m/kiti wao mbowe amelipa fadhila kwani huyo ndo mganga wa familia ya mbowe kwa takribani miaka zaidi ya mitano.

Huyo katibu mkuu kila alipotita hadi shule amekuwa ni mtu wakukumbwa na kashfa na tuhuma za ubadhirifu.

CHADEMA wamepoteza dira na hawajawahi kuwa na uelekeo, kwani mda si mrefu huyo katibu wao atatumbiliwa maana ni jipu tena ni jipu haswaaa..!!

Cha ajabu usomi wa huyo bwana level yake ya elimu ni sawa na katibu kata wa uvccm kata ya kihesa iringa ukitaka kumjua jina lake uliza wanaccm Iringa.

Hiyo ni ishara hicho chama kinaongozwa na mambugilautinr na watu wasiojielewa.

Usomi uendani na tija yako katika jamii mfano mhongo ukisema msomi watu wanajua huyu usomi wake unatija kwa dunia na taifa,

Sasa wewe daktari wakutoa funza familia ya Mbowe unatutishia usomi sisi watoto wa Rais Magufuli toka CCM the home of ontellectuals?

CCM imara

CCM madhubuti

Majipu na yaendelee kutumbuliwa

Upuuzi na upuuzwe haswaaaaaa!!


Soma hii ya Kaka yako we Mpuuzi ili ujue nani aliongoza mgomo unaousema


Hamisi Kigwangalla

Ndg. Dkt. Mashinji is a friend, brother and colleague. Hakuwahi kutuokoa mimi na Dkt. Ulimboka na hakuwahi kuongoza mgomo, sema alishiriki mgomo ulioongozwa na mimi na Dkt. Ulimboka.

Kiukweli, ni mwanasiasa mzuri, msemaji, msomi mzuri (tumesoma naye MBA chuo kimoja), sina hakika kama alimaliza masomo ya Ubingwa maana alinyanyaswa na Supervisor wake, akasusa akaamua kujiunga masomo ya
MBA, na sina hakika sana kuhusu 'msimamo usiotetereka'. Maana baada ya vitisho vya 2005, aliyumba sana na tulimtenga na ku-aVoiD kumualika vikao vya CC ya mgomo.

Hivyo, kama kigezo kilikuwa ni hii Historia, pole kwa CHADEMA.
 
Certificate nyingine kasoma april mpaka april, au alikua anarudia chekechea, uongozi ni upeo, uwezo wa kuona mbali sio ma vyeti yakuungaunga
Kama Ni Upeo Sio Vyeti, Sasa Ww Mbona Unahoji Kuhusu Vyeti!!?? Msukule Bhana, Ni Shida Kweli!!
 
Back
Top Bottom