LENGIO
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 1,096
- 508
Jana mahabusu waliokuwa wanapelekwa monduli mahakamani ametoroka kwenye karandinga la polisi baada ya kutoboa bati la karandinga hilo ambalo limeoza kutokana na mikojo ya mahabusu na kutokea chini ya gari na kuishia.polisi wa arusha wanawazia chadema tuu.